Simba tulifika kibahati 16 Bora Africa

Simba tulifika kibahati 16 Bora Africa

hao kina mbabane, nkana.. wabahatishaji wenzako.. mziki huko huku wakata viuno na wala harua harua.. tunasubiri marudiano tuone kama una kikosi kipana au una kikosi chembamba
Hebu rudia tena kuandika
 
Kuna watu hawajuh mpira kabisa yaaan I narudia tena hamjuh

Unasema simba Ina Bahati kwakuwa et wame fungwa 5mala mbili

Je Ulaya mbona watu wanapigwa ad 7nao unasema je mpira unamabo mengi Sana ili mtu upate mate keo

Sent using Jamii Forums mobile app
Brazil alipigwa 7-0 na Germany hawakusema bahati

Barcelona UEFA walipigwa 4 na Bayern wakaja kupigwa 3 hawakuona hawajui Mpira sio rede

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom