Kuna watu hawajuh mpira kabisa yaaan I narudia tena hamjuh
Unasema simba Ina Bahati kwakuwa et wame fungwa 5mala mbili
Je Ulaya mbona watu wanapigwa ad 7nao unasema je mpira unamabo mengi Sana ili mtu upate mate keo
Sent using
Jamii Forums mobile app