Simba tulizeni mdomo mkubwa ni mkubwa tu

Simba tulizeni mdomo mkubwa ni mkubwa tu

Unamatatizo makubwa ya akili ama uelewa wako ni finyu sana.

Kocha wa Utopolo aliomba apewe miezi 3 ndio timu itakuwa bora, sasa hata kitu kidogo unashindwa kuelewa ndio maana mmesababisha tunaitwa mbumbuwazi.

View attachment 2337818
Unaruka ruka acha shobo nguruwe pori, unadandia treni kwa mbele unajikuta


Elewa kilichoulizwa la sivyo utakuwa unataka bwana na mimi sifagilii.
 
Back
Top Bottom