kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Ni kama hatujiamini tuna maumivu makali sababu yanga inaonesha haina dalili ya kushuka pale juu. Tunatembea na fundo zito la hasira kali tukipata taarifa yoyote mbaya ya Yanga tunaruka kwa furaha iliyochanganyikana na hasira kali.
Tunashinda hatuna furaha inaumiza
Tunashinda hatuna furaha inaumiza