kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Kocha wa simba sijui kama atakula Christmas ya mwaka huu akiwa kocha wa simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani
Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.
Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
Ulirembua peke yako, sisi Simba original tunashinda mechi zetu, sio za wengineLakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787]Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani
Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.
Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
Umeumizwa wewe sisi Simba anayekuja tunajipigia tuHatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani
Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.
Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
Nyani unaweka kidole huko nyuma halafu unakinusaHatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei
Phiri hapangwiHatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani
Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.
Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
Xmas mbali Nyerere Day hafikiKOCHA WA AZAM SIJUI KAMA ATAKULA KRISMAS HAPA BONGO
Tumpe mpaka mwisho wa msimu ana kitu
Bahati mbaya leo wachezaji wa kigeni wote hawatacheza kwa timu za Simba na Singida.Kuna mtu anaenda kuaibika leo, pale nyuma akisimama Onyango sijui mpite juu