Simba tumeumizwa tena

Simba tumeumizwa tena

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani

Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.

Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
 
Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani

Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.

Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
Kocha wa simba sijui kama atakula Christmas ya mwaka huu akiwa kocha wa simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
 
Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani

Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.

Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787]
 
Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani

Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.

Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
Umeumizwa wewe sisi Simba anayekuja tunajipigia tu
 
Naona utopolo unajitekenya na kucheka mwenyewe 😅, hongera kwa ushindi wa jana mtani.
5A3DC3F7-7A2A-4B23-AED6-589B582E6E8A.jpeg
 
Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani

Nimegadhabika sana kwa hili nikikumbuka tulivyoshabikia kwa nguvu nyingi kuondoka kwake lakini kimachotokea ni tofauti na matarajio yetu.

Kocha usipompanga phiri utuachie timu mapema
Phiri hapangwi
 
Kuna mtu anaenda kuaibika leo, pale nyuma akisimama Onyango sijui mpite juu
 
Back
Top Bottom