Simba tumewaona. Naweza kusema mjiandae kisaikolojia, kupaki basi dhidi ya Yanga ndio njia itakayowanusuru Agosti 8

Simba tumewaona. Naweza kusema mjiandae kisaikolojia, kupaki basi dhidi ya Yanga ndio njia itakayowanusuru Agosti 8

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Siku zote mpira ni sayansi na sio propaganda Wala mipasho, bado Simba wanayo kazi ya ziada kuijenga timu yao!

Muunganiko na uwezo wa wachezaji waliosajiliwa bado ni mdogo sana, yule Joshua mutale anayesifiwa ni mchezaji machachari na sio mchezaji hatari. Hana tofauti na kisinda aliyekuwa yanga!

Simba kapata shida dhidi ya timu ya Rwanda ambayo ligi yao na uwezo wao uko chini ukilinganisha na ligi ya Tanzania but wametoka ulimi nje!

APR kaka nyuma ya mpira mda mwingi kitendo ambacho utokitegemea kikitokea mbele ya yanga!

Beki za Simba azijapata Kipimo chochote Cha maana kutoka kwa washambuliaji wa APR kitu ambacho kitakwenda kuwaletea dhahama TRH 8.

Ilikuwa ni halali timu yao kufichwa uko ilikokuwa kwakuwa walikuwa wanajua timu yao wangeionyesha wasingepata mashabiki uwanjani!
Kocha fadlu namshauri mbinu yake ya TRH 8 iwe ni kupaki bus vinginevyo akichukua matokeo yake dhidi ya APR ndio akaenda nayo KUPAMBANA na yanga atapewa anachostahili maana gamond ni mkatili sana!

NB: Hatuwatishi lakini mkiziba masikio cha moto mtakipata!
 
Siku zote mpira ni sayansi na sio propaganda Wala mipasho, bado Simba wanayo kazi ya ziada kuijenga timu yao!
Muunganiko na uwezo wa wachezaji waliosajiliwa bado ni mdogo sana, yule Joshua mutale anayesifiwa ni mchezaji machachari na sio mchezaji hatari, Hana tofauti na kisinda aliyekuwa yanga!
Simba kapata shida dhidi ya timu ya Rwanda ambayo ligi yao na uwezo wao uko chini ukilinganisha na ligi ya Tanzania but wametoka ulimi nje!
APR kaka nyuma ya mpira mda mwingi kitendo ambacho utokitegemea kikitokea mbele ya yanga!
Beki za Simba azijapata Kipimo chochote Cha maana kutoka kwa washambuliaji wa APR kitu ambacho kitakwenda kuwaletea dhahama TRH 8,
Ilikuwa ni halali timu yao kufichwa uko ilikokuwa kwakuwa walikuwa wanajua timu yao wangeionyesha wasingepata mashabiki uwanjani!
Kocha fadlu namshauri mbinu yake ya TRH 8 iwe ni kupaki bus vinginevyo akichukua matokeo yake dhidi ya APR ndio akaenda nayo KUPAMBANA na yanga atapewa anachostahili maana gamond ni mkatili sana!

N;B Atuwatishi lakini mkiziba masikio Cha moto mtakipata!
Huna cha kumfundisha kocha wa SIMBA. Hujui football zaidi ya kidomodomo.

Chekelea kunywa supu 'Vibudu' tu.
 
Kibudu kwa shehe kwa msukuma nyama
Msukuma ameingiaje hapo mkuu?

WhatsApp-Image-2024-08-01-at-23.17.32.jpeg
 
Anyway kuwa Mpizan sio dhamb
Sawa ila kwa sasa jengeni timu.

Msiwaze kabisa vikombe.

Labda kama kuna kikosi kingine kimefichwa.

Ila kwa kikosi hiki cha leo bado mna kazi ya ziada.

Sio tu kuwaza vikombe bali hata kuwaza kumfunga yanga hamtakiwi kuwaza.

Ukibisha shauri yako.
 
Sawa ila kwa sasa jengeni timu.

Msiwaze kabisa vikombe.

Labda kama kuna kikosi kingine kimefichwa.

Ila kwa kikosi hiki cha leo bado mna kazi ya ziada.

Sio tu kuwaza vikombe bali hata kuwaza kumfunga yanga hamtakiwi kuwaza.

Ukibisha shauri yako.
Namuombea Azizi ko lolote limkute🤣
 
Shikamooo Jazz bendi ni Kesho Jamani.....!

Wamepanga Kumuweka Yule 'Mzee Manara' na Mkewe 'Zai B' Eti awe MC na kumuondoa Alli Kwenye U Mc..!

Leo Pale Lupaso Walikuwepo Gen 'Z' Wana Ubaya Ubwelaaaa..!
Mmewaona...?
 
Yanga hana kikosi cha kumfunga Simba. Hayo yalikuwa msimu uliopita.
 
Siku zote mpira ni sayansi na sio propaganda Wala mipasho, bado Simba wanayo kazi ya ziada kuijenga timu yao!

Muunganiko na uwezo wa wachezaji waliosajiliwa bado ni mdogo sana, yule Joshua mutale anayesifiwa ni mchezaji machachari na sio mchezaji hatari. Hana tofauti na kisinda aliyekuwa yanga!

Simba kapata shida dhidi ya timu ya Rwanda ambayo ligi yao na uwezo wao uko chini ukilinganisha na ligi ya Tanzania but wametoka ulimi nje!

APR kaka nyuma ya mpira mda mwingi kitendo ambacho utokitegemea kikitokea mbele ya yanga!

Beki za Simba azijapata Kipimo chochote Cha maana kutoka kwa washambuliaji wa APR kitu ambacho kitakwenda kuwaletea dhahama TRH 8.

Ilikuwa ni halali timu yao kufichwa uko ilikokuwa kwakuwa walikuwa wanajua timu yao wangeionyesha wasingepata mashabiki uwanjani!
Kocha fadlu namshauri mbinu yake ya TRH 8 iwe ni kupaki bus vinginevyo akichukua matokeo yake dhidi ya APR ndio akaenda nayo KUPAMBANA na yanga atapewa anachostahili maana gamond ni mkatili sana!

NB: Hatuwatishi lakini mkiziba masikio cha moto mtakipata!
Huyo Gamondi wako Simba ndo timu pekee itakayomfukuzisha kazi pale Yanga save hii

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom