Canabian Rasta
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 775
- 1,745
Jezi za TRA[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangekuwa yanalipiwa mngefungiwa sababu ya kutolipa helaSi yanalipiwa..?
Hela ipi..? Unakurupuka kifuata wachambuzii.?Yangekuwa yanalipiwa mngefungiwa sababu ya kutolipa hela
Ndio ninbango la matangazo ndio maana wadhamini wanaweka hela majina ya biashara zao yawekwe hapo kifuaniJezi sio mbaya tatizo hizo logo utafikiri za bango la matangazo
MaombiTano na yanga nyie.
fukuza kocha nyie.
mashabiki kususia mechi nyie.
taree 25 mnapigwa tena nyie
jezi nyie.
ujinga nyie.
sasa sisi tuwasaidiaje?
Sio kwa milogo ile mzee babaNdio ninbango la matangazo ndio maana wadhamini wanaweka hela majina ya biashara zao yawekwe hapo kifuani
Kwa mujibu wa katibakazi ya mwenyekiti ni kufungua na kufunga vikao Ila atakuwa ameelewa kwanini Kilomoni alikataa huu upuuzi.Mimi nadhani ifike mahali muuamini uongozi wenu. Mnafikiri hauyaoni hayo? Kama sivyo hudhani kwamba wanajua nini kinaendelea na kwahivyo wanajua faida ipo?
Mwenyekiti wenu Mangungu yuko pale kuwakilisha upande wa wanachama, unafikiri ameruhusu hayo bila kujua kuwa kuna namna klabu inafaidika!?
Logo si za kwake mzaminiSio kwa milogo ile mzee baba
Sio kivile mkuuLogo si za kwake mzamini
Unatakaje mkuu..?Sio kivile mkuu