Simba tunafeli kwenye suala la jezi. Kwanini matangazo mengi?

Matangazo mengi wanakwambia yanalipiwa hela nyingi hafu wanashindwa kumsajili mchezaji wa milion 400 kwel?
 
Kwa mujibu wa katibakazi ya mwenyekiti ni kufungua na kufunga vikao Ila atakuwa ameelewa kwanini Kilomoni alikataa huu upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…