Simba tunahitaji uniform kutoka Puma, Adidas, Nike au umbro kwa hatua hii Dewji usituangushe

Acha kuwa na akili za kisukuma sio kila kitu lazima ufanye mwenyewe.

Leo hii spotpesa akianzisha mashindano timu zinacheza mpaka na timu za England.

Sasa kama mdhamini akiwa Abood si utacheza na timu za Moro.
@magufuli karibu Dar
 
Hili suala la ulinzi/udhibiti (Brand Protection) inatakiwa mamlaka za usajili wa chapa na vyombo vya sheria vitunge sheria ya kupambana na urudufu wa haki za wahusika.

Itumike nguvu ya kadri, akikutwa mhusika anauza jezi isiyo halali zinakusanywa na kuchomwa moto. Wahusika na wafanyabiashara hawatokubali kununua au kuuziwa jezi feki na hapa mlolongo utakoma.
 
Sheria zipo, simba iingie vitani yenyewe, kwa serikali hii usitegemee lolote na timu itabaki kuwa masikini kwa kumtegemea mfadhili na kunyanyasika muda wote
 
Asante, nimekuelewa
 
Naungana na wewe mkuu, hawa uhlsport jezi zao sizielewi kabisa.
Timu inapata mapato makubwa kwa sasa.mo anaangalia faida tuu percent ndogo sana anapeleka kwa uwekezaji wa timu.kwenye uwanja na Jersey mimi Niko hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…