Simba tunahitaji wachezaji watatu tu Januari, 'no panic buy'

Simba tunahitaji wachezaji watatu tu Januari, 'no panic buy'

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Kwanza kabisa tunashukuru Mgunda Mnene kutufikisha hapa tulipo pamoja na mapungufu yake ya kimbinu mpaka akapata hizi droo nne ambazo zimetuweka mbali na watani zetu.

Ili tukimbizane na mbio za Ubingwa plus CAF CL tufike mbali, tunahitaji wachezaji watatu bora kabisa.
  1. Tupate Striker mzoefu mzuri mwenye power na anaijua Afrika. Tusiwe na panic buy.
  2. Tupate mbadala wa Chama kama kukabiliana na endapo Chama hayupo au majeruhi, lakini pia Chama anazeeka.
  3. Tupate Kiungo mkabaji mzuri ambaye atasaidiana na Kanoute endapo Kanoute hayupo, maana kukosekana kwa Kanoute tumekuwa tukipoteza alama mfano mechi ya Mbeya CIty na Singida Big Star.
Mwisho tupate Kocha Mkuu, Mgunda awe msaidizi tu ili kukabiliana na mbinu ndogo alizonazo. Mgunda kwa sasa anatembelea nyota ya Simba tu.

Pia siku moja nilikuwa na kocha wa Kyombo Mbeya, kwanza amesema Kyombo ni wakaiwada mno kucheza Simba na aliwahi kuwashauri viongozi wa Simba hawakuelewa.

Ondoa Mkude, Nyoni, Kibu Denis, Bocco ametosha, Mwanuke uza, toa Akpan hii ilikuwa panic buy tu hana uwezo wa kuchezea Simba kabisa. Ikiwezekana tupate namba upande wa Tshabalala atakayesaidia pia.

Viongozi naomba mpite hapa.

Tuache zile panic buy, kuna wachezaji hawana sifa ya kuwa Simba kama Kibu Denis, Kyombo, Akpan, Nyoni na Mkude. Hawana uwezo, kwa sasa ni wa kawaida sana!
 
  1. Tupate Striker
  2. Tupate mbadala wa chama
  3. Tupate Kiungo mkabaji
Pia siku moja nilikuwa na kocha wa Kyombo mbeya kwanza amesema kyombo ni wakaiwada mno kucheza SImba na aliwahi kuwashauri viongoz wa SImba hawakuelewa. Ondoa MKUDE, NYONI, KIBU DENIS, BOCCO ametosha, Mwanuke uza, Toa Akpan hii ilikuwa panic buy tu hana uwezo wa kuchezea SIMBA kabisa. Ikiwezekana tupate namba upande wa Tshabalala atakayesaidia pia
Nimeweka summary ya unachotaka, nikagundua unapendekeza waondolewe wachezaji sita na wasajiliwe wachezaji watatu. Kwa ufupi unapendekeza idadi ya wachezaji ipunguzwe (licha ya kwamba mashindano ya CAF CL na Azam CC yanakuja). Huu ndio uchambuzi wa wabongo!
 
2/3
5.
6.
8.
9.
10

Haya ndio mahitaji ya Simba.

1. Beki wa pembeni mwenye uwezo wa kucheza namba zote mbili. Kushoto na kulia.

2.Beki wa kati Namba Tano.
Mchezaji wa kusaidiana na Inonga.
Bambala angefaa zaidi kama sio KUDANGANYWA na Zoran Maki kuleta huyo Ottara Mpaka breach.

3. Hitaji la tatu la Simba ni kiungo mkabaji. Kiungo mkabaji. NARUDIA TENA kiungo MKABAJI. CDM
Nambari 6. Kiungo aina ya Thadeo Lwanga au Yanick Bangala.
Hapa ndio injini ya timu.
Mkude nyoni,MZAMIRU wooote hawawezi kabisa.

4. Kiungo wa Juu nambari 8 BOX TO BOX.
Mchezaji mwenye uwezo wa kukaa na mpira, KUPIGA pasi, kukaba na kuathiri mabox yote mawili.
KANUTE AMESHINDWA MNO.

5. Back up ya chama.
Tulimtoa Bwalya, Okwa AMESHINDWA kabisa.
Na hilo nalo Mkaliangalie.

6. Mshambuliaji aina ya Mayele, Manzoki nk
Angalau mwenye uwezo wa kufika goli 25.
MICHEZO YOTE.
Dejan ilikuwa kituko.

Pia Kuna haha ya KUACHANA na wachezaji kama.
Dejan.
Okwa.
Sackho.
Banda.
Kanute
Ottara.


Nyoni.
Boko.
Gadiel.
Kapama.
Kyombo.


UONGOZI UNATAKIWA UWE SERIOUS
 
2/3
5.
6.
8.
9.
10

Haya ndio mahitaji ya Simba.

1. Beki wa pembeni mwenye uwezo wa kucheza namba zote mbili. Kushoto na kulia.

2.Beki wa kati Namba Tano.
Mchezaji wa kusaidiana na Inonga.
Bambala angefaa zaidi kama sio KUDANGANYWA na Zoran Maki kuleta huyo Ottara Mpaka breach.

3. Hitaji la tatu la Simba ni kiungo mkabaji. Kiungo mkabaji. NARUDIA TENA kiungo MKABAJI. CDM
Nambari 6. Kiungo aina ya Thadeo Lwanga au Yanick Bangala.
Hapa ndio injini ya timu.
Mkude nyoni,MZAMIRU wooote hawawezi kabisa.

4. Kiungo wa Juu nambari 8 BOX TO BOX.
Mchezaji mwenye uwezo wa kukaa na mpira, KUPIGA pasi, kukaba na kuathiri mabox yote mawili.
KANUTE AMESHINDWA MNO.

5. Back up ya chama.
Tulimtoa Bwalya, Okwa AMESHINDWA kabisa.
Na hilo nalo Mkaliangalie.

6. Mshambuliaji aina ya Mayele, Manzoki nk
Angalau mwenye uwezo wa kufika goli 25.
MICHEZO YOTE.
Dejan ilikuwa kituko.

Pia Kuna haha ya KUACHANA na wachezaji kama.
Dejan.
Okwa.
Sackho.
Banda.
Kanute
Ottara.


Nyoni.
Boko.
Gadiel.
Kapama.
Kyombo.


UONGOZI UNATAKIWA UWE SERIOUS
Mapendekezo yako ni mazuri Sana lakini umeacha Wachezaji wengi mno. Unapendekeza kusajili Wachezaji 6 na kuacha 11 huku timu ikikabiliwa na mashindano Makubwa matatu ndani ya miezi 6 ijayo, siyo Sawa.
 
Mapendekezo yako ni mazuri Sana lakini umeacha Wachezaji wengi mno. Unapendekeza kusajili Wachezaji 6 na kuacha 11 huku timu ikikabiliwa na mashindano Makubwa matatu ndani ya miezi 6 ijayo, siyo Sawa.
Naona wachangia mada WANAPUNGUZA IDADI YA WACHEZAJI tu
 
Nimeweka summary ya unachotaka, nikagundua unapendekeza waondolewe wachezaji sita na wasajiliwe wachezaji watatu. Kwa ufupi unapendekeza idadi ya wachezaji ipunguzwe (licha ya kwamba mashindano ya CAF CL na Azam CC yanakuja). Huu ndio uchambuzi wa wabongo!
Watu wengi wanayajua matatizo, lakini ni watu wachache wanajua namna ya kuyatatua.

Tazama wachangiaji kadhaa hapa, wanatatua tatizo la quality ya kikosi, halafu wakati huo huo wanaleta tatizo jingine la quantity.

Mmoja: Acha sita, sajili watatu.
Mwingine: Acha 11, sajili 6.

Daah
 
Watu wengi wanayajua matatizo, lakini ni watu wachache wanajua namna ya kuyatatua.

Tazama wachangiaji kadhaa hapa, wanatatua tatizo la quality ya kikosi, halafu wakati huo huo wanaleta tatizo jingine la quantity.

Mmoja: Acha sita, sajili watatu.
Mwingine: Acha 11, sajili 6.

Daah
Bongo nyoso
 
Back
Top Bottom