MO please ichukue timu kimya kimya kuna viongozi wanatuhujumu kabisa. Kuna viongozi wanatuhujumu. Kuna baadhi ya viiongozi wanauza mechi sio kawaida kufungwa na African Lyon na Prison na tushinde Stand uD timu ngumu.
Simba tusimameni imara tuchukue ubingwa ile kauli ya upande wa pili ya kuwa haitatokea Simba ichukue ubingwa yawezekana inatumaliza kwa baadhi kutuhujumu.
Kocha mzuri asiguswe
Simba tusimameni imara tuchukue ubingwa ile kauli ya upande wa pili ya kuwa haitatokea Simba ichukue ubingwa yawezekana inatumaliza kwa baadhi kutuhujumu.
Kocha mzuri asiguswe