Na bado msimu ujao tunachukua mbaki na maneno yenu. Mnaokota wachezaji wenu viwango vidogo alafu mnataka mchukue kombeMbeleko zilizidi kwa timu fulani!
Simba amebebwa uwanja wa taifa karibu mechi sita ivi amuon aibu kujisifia upuuzi, wenye akili wame kaa kimya wanawaangalia ila mda si mrefu uko kwenye mashindano ya Afrika mtarudi na kilio cha goli tano tano.
Bingwa alipangwa na tifutifu iliyojaa mikia fc.Ligi imeisha simba wamechukua ubingwa kwa points 16.
Simba hawastahili kuchezea hii ligi, angalia kwenye msimamo waliofuatana walikuwa wanapambana nafasi ya pili na kupishana kwa kwa points ndogo, yaani simba na wengine ni kama mbigu na ardhi.
Angalieni wenzetu Zambia leo hata mtu nne anaweza kuchukua ubingwa na wanamaliza ligi.
Kuna wenzetu wamefumua timu nzima msimu ujao unaweza kwisha hata wachezaji wao hawajuani majina,hii inakosesha uhondo wa ligi kwani hao wengine wanacheza ligi ipi?
Lawama zao tunabebwa ,mnatutia aibu sana wadau wa soka safi
Kocha wenu hakukosea kuwaita Nyani [emoji3][emoji3]Kubebwa ubebwe ww simba na kubweka mnabweka nyie wenyewe, team km Liverpool imebeba ubingwa kwa point different kubwa na bado wanaamin msimu ujao watakuwa na changamoto kubwa lakin ww uliye pewa ubingwa kwa mbeleko unaanza kuvimba kichwa... Duuuuu nyie wanyama amkeni mjue kuwa bila mbeleko za kukariwa na warasi karia nyie ni paka tuu
Ww paka tu unajiita simba wa kufugwaKocha wenu hakukosea kuwaita Nyani [emoji3][emoji3]
Kocha wenu alishasema nyinyi ni nyani so mimi ni nani wa kubishana na nyani?Ww paka tu unajiita simba wa kufugwa
Zitaje hizo mechi..Tuliokuwa tunafuatilia ligi ya TZ mwanzo mwisho bila mahaba ya ushabiki, tuligundua kuwa ukipitisha mechi za simba kwenye VAR, basi itabaki na points za kucheza PLAY OFF tu.
Kilichowasidia ni kuwekeza sana kwenye mbinu za timu za kiarabu.
Lakini ukiangalia kwa makini statistics za simba na yanga ktk ligi bila jicho la ushabiki, utagundua simba alipoteza mechi 4 na yanga alipoteza mechi 4. Sioni mantiki ya kuibeza Yanga wakati wote mmepoteza idadi sawa ya mechi. Kama ni Utopolo basi wote ni utopolo kwa kupoteza mechi dhidi ya underdogs.
Kilichoiangusha yanga ni idadi kubwa ya sare (15 against 7 za simba). Na hizi sare, nyingi zimechangiwa na simba kucheza mechi za yanga.
Kwa maneno mengine, simba alikuwa anacheza mechi zake na zile za yanga.
Manyani fc[emoji28][emoji28][emoji28]Simba amebebwa uwanja wa taifa karibu mechi sita ivi amuon aibu kujisifia upuuzi, wenye akili wame kaa kimya wanawaangalia ila mda si mrefu uko kwenye mashindano ya Afrika mtarudi na kilio cha goli tano tano.
Usihangaike na manyani fc, wanateswa na laana ya Yusuf Manji, utopolo fc!Zitaje hizo mechi..
Kuna timu zimezoea kulialia aseee.
Hivi aliyefungwa goli refa akasema Kona ni simba?
Dhulma dhidi ya kagera FA ni simba?
Na matukio kibao kama hayo.
Mtu kwenye squad yake wachezaji ni kina Ngassa(aliyekuwa peak 2010) afu simba akichukua ubingwa analia.Usihangaike na manyani fc, wanateswa na laana ya Yusuf Manji, utopolo fc!
Lakini cha ajabu yanga anafumua kikosi choteeTuliokuwa tunafuatilia ligi ya TZ mwanzo mwisho bila mahaba ya ushabiki, tuligundua kuwa ukipitisha mechi za simba kwenye VAR, basi itabaki na points za kucheza PLAY OFF tu.
Kilichowasidia ni kuwekeza sana kwenye mbinu za timu za kiarabu.
Lakini ukiangalia kwa makini statistics za simba na yanga ktk ligi bila jicho la ushabiki, utagundua simba alipoteza mechi 4 na yanga alipoteza mechi 4. Sioni mantiki ya kuibeza Yanga wakati wote mmepoteza idadi sawa ya mechi. Kama ni Utopolo basi wote ni utopolo kwa kupoteza mechi dhidi ya underdogs.
Kilichoiangusha yanga ni idadi kubwa ya sare (15 against 7 za simba). Na hizi sare, nyingi zimechangiwa na simba kucheza mechi za yanga.
Kwa maneno mengine, simba alikuwa anacheza mechi zake na zile za yanga.