Simba tunakuja: Mzunguko wa pili tarehe 13/04/2024, Yanga jiandaeni kwa maumivu!

Simba tunakuja: Mzunguko wa pili tarehe 13/04/2024, Yanga jiandaeni kwa maumivu!

mpolekabisa

Senior Member
Joined
Oct 18, 2023
Posts
161
Reaction score
225
Utakuwa unafanya makosa yatakayokugharimu sana ukimwona Simba amenyeshewa mvua, ukadhani kuwa amegeuka na kuwa paka! Form is temporary but CLASS is permanent!! Mechi ya mzunguko wa pili tarehe 13/04/2023 itakuwa kiyama kwenu! Simba nguvu moja!

Hayo ya jana tumeyapokea na kuyatupa nyuma na tunaendelea mbele!​
 
255765598144_status_83af9ae4989f4dc6805f7293f116a09e.jpg
 
Utakuwa unafanya makosa yatakayokugharimu sana ukimwona Simba amenyeshewa mvua, ukadhani kuwa amegeuka na kuwa paka! Form is temporary but CLASS is permanent!! Mechi ya mzunguko wa pili tarehe 13/04/2023 itakuwa kiyama kwenu! Simba nguvu moja!

Hayo ya jana tumeyapokea na kuyatupa nyuma na tunaendelea mbele!​
Ukitaka kujua goli 5 ni nyingi zigeuze ziwe chapati😂😂😂


5G ishakuvuruga Hadi tarehe umekosea
 
Back
Top Bottom