Simba tunaomba CAF watupangie Mamelodi robo fainali

Simba tunaomba CAF watupangie Mamelodi robo fainali

Waleteee hao masandawana tuwapelekee pumzi za moto dakika ya nne tu Simba kona 27.
 
Ndugu, sisi wanyama wenzako hii dua yako hatuitaki, hapa tulipo hatupati usingizi tunawazia balaa la pale Casablanca. Kheri kukutana na Esperance ila hawa Brazilians wa bondeni hapana hawana huruma wanaweza kutupiga hata 8. Tuweke ushabiki pembeni, timu letu mwaka huu ni ya kawaida.

Kwenye hatua za mtoano. Ni afadhali ucheze na Mamelodi kuliko kucheza na hao waarabu kina Esperence.

Mamelodi hana makali kwenye mtoano.

Kwanza CV ya mamelodi haitishi.

Ubingwa wa Africa amewahi kuubeba mara moja tu mwaka 2016 tena kwa kupewa ushindi wa mezani kwenye mtoano.

Na hata huo ubingwa wa 2016 mamelodi aliupata kwa bahati maana mamelodi alikuwa ameshatolewa mashindanoni na As Vita,, mamelodi alipewa ushindi wa mezani sababu As vita ilimchezesha mchezaji ambaye alikuwa hajamaliza adhabu yake.


Mamelodi mwisho wake unakuwaga robo fainali.

Sasa nenda kacheki CV za kina Esperence uone balaa lao.

Timu kubwa za Waarabu kwenye mtoano huwa ni hatarii sanaaa

Mamelodi mwenyewe anawaogopa waarabu kwenye mtoano.

Wa Tanzania huwa wanamkuza sana mamelodi kama timu hatari Africa.

Huku Mamelodi hamfikii hata Enyimba ama Mazembe kwa CV
 
Kwenye hatua za mtoano. Ni afadhali ucheze na Mamelodi kuliko kucheza na hao waarabu kina Esperence.

Mamelodi hana makali kwenye mtoano.

Kwanza CV ya mamelodi haitishi.

Ubingwa wa Africa amewahi kuubeba mara moja tu mwaka 2016 tena kwa kupewa ushindi wa mezani kwenye mtoano.

Na hata huo ubingwa wa 2016 mamelodi aliupata kwa bahati maana mamelodi alikuwa ameshatolewa mashindanoni na As Vita,, mamelodi alipewa ushindi wa mezani sababu As vita ilimchezesha mchezaji ambaye alikuwa hajamaliza adhabu yake.


Mamelodi mwisho wake unakuwaga robo fainali.

Sasa nenda kacheki CV za kina Esperence uone balaa lao.

Timu kubwa za Waarabu kwenye mtoano huwa ni hatarii sanaaa

Mamelodi mwenyewe anawaogopa waarabu kwenye mtoano.

Wa Tanzania huwa wanamkuza sana mamelodi kama timu hatari Africa.

Huku Mamelodi hamfikii hata Enyimba ama Mazembe kwa CV
Kwaiyo timu yako unailinganisha kabisa na mamelod? Unaona timu yako inao ubora wa kupimana ubavu na mamelod? Ata kama mamelod anaishia robo fainali usipende kulinganisha vitu kwa kukaririshwa, mpira unachezwa hadharani na sio vichakani, Mamelod tumewaona na Simba tumewaona bado simba aijafikia hata robo ya ubora walionao Mamelod kwa sasa, Unapoziweka izo timu 2 kwenye kapu moja la ushindani utakuwa unauvunjia heshima mpira, Ebu tuache ushabiki maandazi wa kuaminishwa vitu ambavyo unajua kabisa ni ngumu kutokea, Timu mbovu tu ya vipers imekutoa kamasi sembuse Mamelodi? Kama ni stori za kwenye kahawa ili muda uende na kufurahisha genge nitakubaliana na wewe but kiuhalisia ni ngumu
 
Wapi nimeifananisha simba na mamelodi.

Naomba uweke maneno yangu ya kufananisha simba na mamelodi

Kwaiyo timu yako unailinganisha kabisa na mamelod? Unaona timu yako inao ubora wa kupimana ubavu na mamelod? Ata kama mamelod anaishia robo fainali usipende kulinganisha vitu kwa kukaririshwa, mpira unachezwa hadharani na sio vichakani, Mamelod tumewaona na Simba tumewaona bado simba aijafikia hata robo ya ubora walionao Mamelod kwa sasa, Unapoziweka izo timu 2 kwenye kapu moja la ushindani utakuwa unauvunjia heshima mpira, Ebu tuache ushabiki maandazi wa kuaminishwa vitu ambavyo unajua kabisa ni ngumu kutokea, Timu mbovu tu ya vipers imekutoa kamasi sembuse Mamelodi? Kama ni stori za kwenye kahawa ili muda uende na kufurahisha genge nitakubaliana na wewe but kiuhalisia ni ngumu
 
Ebwana watatubonda kamaa ngoma labda ile simba ya Miquisson kule chama huku Tshabalala kule Ontango Mido ndo hatunaga sasa ukaweke SAWADOGO, mido Saido winga beki Inonga anavyopenda kukaba ovyo kama Casemiro lazima apate Umeme aisee narudia tena weka Ushabiki pembeni WATATUPIGA KAMA NGOMAA
Kwa nini hawakuipiga kama ngoma Al Hilal au mbona hawakuipiga Petro Atletico last season wakaishia robo fainali?

Orlando tu waliitoa Simba kwa penalties so usiuchukulie mpira kinazi mpira ni zaidi ya karata unazichanga upya kila utakapo kucheza

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ndugu, sisi wanyama wenzako hii dua yako hatuitaki, hapa tulipo hatupati usingizi tunawazia balaa la pale Casablanca. Kheri kukutana na Esperance ila hawa Brazilians wa bondeni hapana hawana huruma wanaweza kutupiga hata 8. Tuweke ushabiki pembeni, timu letu mwaka huu ni ya kawaida.
Lakini ndiyo timu iliyopossess ball zaidi imezidiwa na Mamelod na Raja tu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwaiyo timu yako unailinganisha kabisa na mamelod? Unaona timu yako inao ubora wa kupimana ubavu na mamelod? Ata kama mamelod anaishia robo fainali usipende kulinganisha vitu kwa kukaririshwa, mpira unachezwa hadharani na sio vichakani, Mamelod tumewaona na Simba tumewaona bado simba aijafikia hata robo ya ubora walionao Mamelod kwa sasa, Unapoziweka izo timu 2 kwenye kapu moja la ushindani utakuwa unauvunjia heshima mpira, Ebu tuache ushabiki maandazi wa kuaminishwa vitu ambavyo unajua kabisa ni ngumu kutokea, Timu mbovu tu ya vipers imekutoa kamasi sembuse Mamelodi? Kama ni stori za kwenye kahawa ili muda uende na kufurahisha genge nitakubaliana na wewe but kiuhalisia ni ngumu
Hiyo mamelod imechukua CAFCL mara 10 hadi iwe sio level zetu?

Petro alimchapa 3 last season Je, Petro ilikuwa bora sana kuliko Mamelod? Ishu ni strategies tu zikitiki huo ubora wa timu unaweza kudhibitiwa tu nothing impossible

Afu huwezi kushinda CAFCL huku unaogopa kukutana na timu zilizoko huko.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hiyo mamelod imechukua CAFCL mara 10 hadi iwe sio level zetu?

Petro alimchapa 3 last season Je, Petro ilikuwa bora sana kuliko Mamelod? Ishu ni strategies tu zikitiki huo ubora wa timu unaweza kudhibitiwa tu nothing impossible

Afu huwezi kushinda CAFCL huku unaogopa kukutana na timu zilizoko huko.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

Mamelodi katwaa ubingwa wa Africa mara 1 tu. Mwaka 2016.

Na hata huo ubingwa aliupata kwa bahati. Mamelodi alitolewa na As Vita kwenye mtoano.
sema Mamelodi alipewa ushindi wa mezani maana as vita ilimpanga mchezaji ambaye alikuwa hajamaliza adhabu ya kadi nyekundu.

Bila hivyo hata huo ubingwa wa mara 1 asingeupata
 
Jichanganyeni hakuna msouth mwenye huruma
 
Kwenye hatua za mtoano. Ni afadhali ucheze na Mamelodi kuliko kucheza na hao waarabu kina Esperence.

Mamelodi hana makali kwenye mtoano.

Kwanza CV ya mamelodi haitishi.

Ubingwa wa Africa amewahi kuubeba mara moja tu mwaka 2016 tena kwa kupewa ushindi wa mezani kwenye mtoano.

Na hata huo ubingwa wa 2016 mamelodi aliupata kwa bahati maana mamelodi alikuwa ameshatolewa mashindanoni na As Vita,, mamelodi alipewa ushindi wa mezani sababu As vita ilimchezesha mchezaji ambaye alikuwa hajamaliza adhabu yake.


Mamelodi mwisho wake unakuwaga robo fainali.

Sasa nenda kacheki CV za kina Esperence uone balaa lao.

Timu kubwa za Waarabu kwenye mtoano huwa ni hatarii sanaaa

Mamelodi mwenyewe anawaogopa waarabu kwenye mtoano.

Wa Tanzania huwa wanamkuza sana mamelodi kama timu hatari Africa.

Huku Mamelodi hamfikii hata Enyimba ama Mazembe kwa CV
Na simba je CV yako ikoje

Ziunganishe enyimba na mazembe zikacheze na masandawana uone kama zitatoboa
 
Na simba je CV yako ikoje

Ziunganishe enyimba na mazembe zikacheze na masandawana uone kama zitatoboa
Na simba je CV yako ikoje

Ziunganishe enyimba na mazembe zikacheze na masandawana uone kama zitatoboa

Mbona unaingiza simba.

Hoja yangu ni Mamelodi hana cv ya kutisha barani Africa.

Mamelodi kimafanikio ya africa ni timu ya kawaida tu.

Huwezi kuwa kigogo huku ubingwa umetwaa mara 1 tu maishani mwako

Kuhusu Enyimba,, tambua Enyimba alicheza na mamelodi na akamfunga 3 - 1

Ila mamelodi hajawai mtoa enyimba hata mara 1
 
Weupe wao ni nini mweupe ni Marcelo alliende tu
Waliwachezesha kwenye jua kali wakijua fika Ahly au waarabu kwenye jua kali sio wazuri, ndio maana ulimuona Percy ndio alikuwa ana perform sana.
 
Waliwachezesha kwenye jua kali wakijua fika Ahly au waarabu kwenye jua kali sio wazuri, ndio maana ulimuona Percy ndio alikuwa ana perform sana.
Huko CAIRO mbona hawakushinda na ni usiku walicheza na refa wao alikuwa
 
Uyu beki ni inonga wa3 onyango wa 2 jobu 3 bangala 2
1678813243370.jpg
 
Waliwachezesha kwenye jua kali wakijua fika Ahly au waarabu kwenye jua kali sio wazuri, ndio maana ulimuona Percy ndio alikuwa ana perform sana.
Cairo walisale 2 kwa mbili al ahaly akibebwa mno
 
Iko kikosi una mchomeka nani kutoka Simba,yanga na Azam?
IMG_20230314_202333.jpg
 
Kwenye hatua za mtoano. Ni afadhali ucheze na Mamelodi kuliko kucheza na hao waarabu kina Esperence.

Mamelodi hana makali kwenye mtoano.

Kwanza CV ya mamelodi haitishi.

Ubingwa wa Africa amewahi kuubeba mara moja tu mwaka 2016 tena kwa kupewa ushindi wa mezani kwenye mtoano.

Na hata huo ubingwa wa 2016 mamelodi aliupata kwa bahati maana mamelodi alikuwa ameshatolewa mashindanoni na As Vita,, mamelodi alipewa ushindi wa mezani sababu As vita ilimchezesha mchezaji ambaye alikuwa hajamaliza adhabu yake.


Mamelodi mwisho wake unakuwaga robo fainali.

Sasa nenda kacheki CV za kina Esperence uone balaa lao.

Timu kubwa za Waarabu kwenye mtoano huwa ni hatarii sanaaa

Mamelodi mwenyewe anawaogopa waarabu kwenye mtoano.

Wa Tanzania huwa wanamkuza sana mamelodi kama timu hatari Africa.

Huku Mamelodi hamfikii hata Enyimba ama Mazembe kwa CV
Mpira ungekuwa ni CV hao tp Mazembe ulowasema wangekuwa klabu bingwa sahv wanaongoza kundi, Ila mpira haupo hivo kiongozi sometimes kunakuwa na ups and downs nyingi tu na kila msimu huwa na uspecial wake tusikariri
 
Back
Top Bottom