Simba tunaomba CAF watupangie Mamelodi robo fainali

Simba tunaomba CAF watupangie Mamelodi robo fainali

Mpira ungekuwa ni CV hao tp Mazembe ulowasema wangekuwa klabu bingwa sahv wanaongoza kundi, Ila mpira haupo hivo kiongozi sometimes kunakuwa na ups and downs nyingi tu na kila msimu huwa na uspecial wake tusikariri

Umesema ukweli

Hio ndio sababu ya mimi kuleta hoja.. maana mamelodi amepewa u special sana. Soma sifa anazopewa mamelodi humu huku kuna timu kibao zinafanya vizuri kuliko yeye
 
Umesema ukweli

Hio ndio sababu ya mimi kuleta hoja.. maana mamelodi amepewa u special sana. Soma sifa anazopewa mamelodi humu huku kuna timu kibao zinafanya vizuri kuliko yeye
Team ipi inayofanya vizuri kumzidi mamalody?
 
Jana kwenye mchezo wa ligi yao wamempiga mtu 5-0 sasa nyie mpaka wawasha moto uwanjani ndo mtawaweza? Timu nzima inategemea uwepo wa chama
 
Bangii zimeshuka bei kuliko Maharagee?.....yaanii Peter shelulile azuiwe na Mudii Shabalalaa🤣🤣🤣
 
Wydad uyu anaesua sua

Jiulize Bingwa mtetezi ni nani ?

Na pia kwenye group A ambalo ndilo kundi la Wydad fatilia nani anaongoza kundi na ana point ngapi?

Kama kuongoza kundi ni kusua sua uje na majibu
 
Jiulize Bingwa mtetezi ni nani ?

Na pia kwenye group A ambalo ndilo kundi la Wydad fatilia nani anaongoza kundi na ana point ngapi?

Kama kuongoza kundi ni kusua sua uje na majibu
Keshafungwa na ushindi wake wa hapa na pale
 
Back
Top Bottom