Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Mkuu uzi unahusiana na simba jamaa kacomment kuhusu simba sasa yanga imekujaje tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uzi unahusiana na simba jamaa kacomment kuhusu simba sasa yanga imekujaje tena
Wydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.
NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna wasiwasi hilo kuwezekana ila naona 46 mkuu sio 4
Mkuu hii mechi wanamdharau tu Medeama lakini hata ukiangalia bookong/odds kwenye mitandao Medeama kapewa 1.80 na Yanga 4.50. kwa maana hiyo ni kama kuna dalili Medeama ni mzuri kuliko YangaNje ya Mada kidogo
Kama vile yanga wanavyoipigia mahesabu medeama basi na Medeama ndo wanavyoipigia mahesabu Yanga. Pia tukumbushane Yanga ndo ameonekana ni Kivuko huru kwa wanaotaka kufika ng'ambo.
Medeama ni bora zaidi ya Yanga, yanga ni bora huku NBC tu ila huko nje ni Mgeni wa jiji tu.Mkuu hii mechi wanamdharau tu Medeama lakini hata ukiangalia bookong/odds kwenye mitandao Medeama kapewa 1.80 na Yanga 4.50. kwa maana hiyo ni kama kuna dalili Medeama ni mzuri kuliko Yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani siku Simba anakufa 5-1 odds zilikuaje?Mkuu hii mechi wanamdharau tu Medeama lakini hata ukiangalia bookong/odds kwenye mitandao Medeama kapewa 1.80 na Yanga 4.50. kwa maana hiyo ni kama kuna dalili Medeama ni mzuri kuliko Yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba mnalazimisha sana. Yanga akipita makundi sijui mtatafuta kisingizio gani kingine.Medeama ni bora zaidi ya Yanga, yanga ni bora huku NBC tu ila huko nje ni Mgeni wa jiji tu.
Kwa akili hizi utakuwa mwana ccm weweWydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.
NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongela kwa kutumia ndumkuWydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.
NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu ya wanasimba ni Yanga kuwapita kimafanikio kimataifaSimba mnalazimisha sana. Yanga akipita makundi sijui mtatafuta kisingizio gani kingine.
Hapa nyumbani washachemka kile kichapo cha goli 5 kiliwafungua macho kuona tofauti ya ubora kati yao na mpinzani wao, sasa hivi wanaokoteza visababu tu kulazimisha furaha. Hivi unapata wapi jeuri ya kumponda aliekupiga goli 5, unapata wapi jeuri ya kumponda anaecheza mpira mzuri kuliko wewe?Hofu ya wanasimba ni Yanga kuwapita kimafanikio kimataifa
Hofu yao ni je Yanga akifika nusu fainali wataziweka wapi sura zao
Mda ndio unakaribia,tusikimbiane tuu.
Nipo kushuhudia mnyama akimkanda mwarabu kwakeMda ndio unakaribia,tusikimbiane tuu.
Mnashinda njaaWydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.
NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalieni mechi vizuri msije mkasema refa ametubeba, nye mnalalamikia marefa tuMnashinda njaa
Sawa na kusema mgonjwa wa ukimwi ataponaWydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.
NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!
Sent using Jamii Forums mobile app