Simba tunashinda Morocco

Simba tunashinda Morocco

Wydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.

NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!

Sent using Jamii Forums mobile app
giphy.gif
 
Nje ya Mada kidogo

Kama vile yanga wanavyoipigia mahesabu medeama basi na Medeama ndo wanavyoipigia mahesabu Yanga. Pia tukumbushane Yanga ndo ameonekana ni Kivuko huru kwa wanaotaka kufika ng'ambo.
 
Nje ya Mada kidogo

Kama vile yanga wanavyoipigia mahesabu medeama basi na Medeama ndo wanavyoipigia mahesabu Yanga. Pia tukumbushane Yanga ndo ameonekana ni Kivuko huru kwa wanaotaka kufika ng'ambo.
Mkuu hii mechi wanamdharau tu Medeama lakini hata ukiangalia bookong/odds kwenye mitandao Medeama kapewa 1.80 na Yanga 4.50. kwa maana hiyo ni kama kuna dalili Medeama ni mzuri kuliko Yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.

NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili hizi utakuwa mwana ccm wewe
 
Wydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.

NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongela kwa kutumia ndumku
 
Simba mnalazimisha sana. Yanga akipita makundi sijui mtatafuta kisingizio gani kingine.
Hofu ya wanasimba ni Yanga kuwapita kimafanikio kimataifa

Hofu yao ni je Yanga akifika nusu fainali wataziweka wapi sura zao
 
Hofu ya wanasimba ni Yanga kuwapita kimafanikio kimataifa

Hofu yao ni je Yanga akifika nusu fainali wataziweka wapi sura zao
Hapa nyumbani washachemka kile kichapo cha goli 5 kiliwafungua macho kuona tofauti ya ubora kati yao na mpinzani wao, sasa hivi wanaokoteza visababu tu kulazimisha furaha. Hivi unapata wapi jeuri ya kumponda aliekupiga goli 5, unapata wapi jeuri ya kumponda anaecheza mpira mzuri kuliko wewe?
 
Wydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.

NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnashinda njaa
 
Wydad ndo njia ya Simba kuelekea robo, Wydad wanapoint 6 zetu tutampiga nje ndani. Asec tutashinda kwao au draw, na Jwaneng tutampiga kwa Mkapa kipigo cha mbwa mwizi, halafu mahesabu ya kuelekea robo tayari, Ila Morocco punda afe mzigo ufike.

NIONGEZE VOLUME AU WOTE MMESIKIA VIZURI!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa na kusema mgonjwa wa ukimwi atapona
 
Back
Top Bottom