Simba tuvae vitambaa vyeusi kichwani uwanjani kusema imetosha

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kama tumewachoka viongozi basi hii njia itakuwa nzuri ziaidi, vaeni vitambaa vyeusi kichwani wote na wengine vaeni tshirt za maandishi kama mmewachoka viongozi.

Hizi porojo za kila siku redioni hazina maana na hazotawasaidia kamwe.

Nawarakia kipigo chema cha uhakika na heshima.
 
Kwahiyo kapombe alivochoka kiongozi anahusika pale!!?

Mbona ameipa simba jina kubwa sana enzi zake na wengine wooote wanaomfuata kwenye uchokevu wake!!!!??

Jifunze kuheshimu watu.
 
Nawaza tu hapa!! Hivi ikitokea wakafungwa, au kutoa sare na Asec Mimosa hiyo tarehe 25!! Ni nani mwingine atatolewa sadaka?
Ni Mangungu, au Bodi yote ya timu itawajibika?
 
Simba hii mbovu isitegemee maajabu kwenye msimu huu ni kukandwa na timua timua tu kwa kwenda mbele! Makolokwinyo wazoee tu maumivu!

Nimemsikia kiongozi mmoja akisema Mabango ya kukera ya 5G khamsa yatasalia barabarani miezi 6 hadi mechi ya derby ijayo!!pesa ya udhamini IPO!
 
Nawaza tu hapa!! Hivi ikitokea wakafungwa, au kutoa sare na Asec Mimosa hiyo tarehe 25!! Ni nani mwingine atatolewa sadaka?
Ni Mangungu, au Bodi yote ya timu itawajibika?
Wanapambana saana walau waipate hiyo droo dhidi ya Asec, wakipigwa tena na Asec ni kilio kingine kizito.
 
Huo ndo ukweli.manula alilazimisha kudaka yeye na alitishia kuvunja mkataba kama asingepangwa.
Kumbe alibet aliweka utopolo win anda over 4.5
 
Siendi uwanjani hiyo ndio dawa,wacha wajipiganie wenyewe
 
Bora watu msimu huu waache kunua jezi na kwenda uwanjani hadi msimu ujao, hili linaweza saidia kupunguza propaganda za viongozi na janja ya nyani
 
Kwani si walishatatua mambo yao baada ya kumfukuza kocha
 
Kwahiyo kapombe alivochoka kiongozi anahusika pale!!?

Mbona ameipa simba jina kubwa sana enzi zake na wengine wooote wanaomfuata kwenye uchokevu wake!!!!??

Jifunze kuheshimu watu.
Sasa Kapombe kama kachoka kwanini awe hapo kama siyo kosa la uongozi kukaa na wazee
 
Timuatimua fc....
Za chini chini nasikia tarehe 27 mashabikiwa wa Asec watakunywa supu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…