Simba U-20 ni Mbovu Sana utadhani haina Makocha

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
5,814
Reaction score
8,118
Mateso yanaendelea kwa sisi wana Msimbazi. Mpira unaochezwa na hii Simba U-20 ni kichefuchefu. Benchi la ufundi la timu hii pia liangaliwe. Timu ni Mbovu sana. Haijui kila kitu uwanjani. Wanarukaruka tu.

Salam ziwafikie
 
Mateso yanaendelea kwa sisi wana Msimbazi. Mpira unaochezwa na hii Simba U-20 ni kichefuchefu. Benchi la ufundi la timu hii pia liangaliwe. Timu ni Mbovu sana. Haijui kila kitu uwanjani. Wanarukaruka tu.

Salam ziwafikie
Kwa taarifa yako ni kuwa ni timu chache sana ambazo ni timu kubwa na zina kikosi bora cha timu za vijana. Timu hizi mara nyingi huwekeza nguvu kwenye kununua wachezaji wanaopikwa na timu za kati au timu ndogo. Ndo maana hapa bongo timu nzuri za vijana unazipata mtibwa, moro united wakati huo au azam kwa sasa lkn si simba na yanga.
 
Nimekuelewa vema kabisa. Sikuwa na idea hii before. Lakini hata hivyo bado tuna kazi kubwa sana. Watoto wa kileo pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kujifunza mpira, vipaji vyao ni haba sana. Mchezaji anakimbia bila kushirikisha macho yake, hakuna maamuzi ya haraka ya kujua ni afanye kwa wakati gani. TBT
 
Nico Kihondo alitufundisha mpira hapo hapo Simba na tulikuwa vyema sana kwa mbinu na ufundi. Kuna mitoto haifundishiki ht ilale uwanjani. Anko anko na simu za maelekezo imekuwa nyingi kila kona.
 
Hawa watoto wanaitwa Simba U-20 wanapatikanaje? Umri huu wa U-20 tunatarajia kuona vibaji vilisivyo mfanowe. Mbona hii mbovu sana. Au 10% ndio hutumika kupata hawa wato maana mtaani kuna video pani kuliko hawa wajinga. In short hawajui kucheza badala yake wanajua kupiga mpira tu. Mussa Hassan Mgosi kama Kocha huwa anafanya nini hasa? Tusipuuze timu za watoto kwani ni kutoka timu hizo ndipo tutaweza kuwa combination ya timu nzuri ya wakubwa. Nategemea Hassan Mgosi afukuzwe na utaratibu unaotumika ku recruit hawa vijana uchunguzwe.
 
Mateso yanaendelea kwa sisi wana Msimbazi. Mpira unaochezwa na hii Simba U-20 ni kichefuchefu. Benchi la ufundi la timu hii pia liangaliwe. Timu ni Mbovu sana. Haijui kila kitu uwanjani. Wanarukaruka tu.

Salam ziwafikie
Nasikia kocha kampanga mwanae km zidane
 
Ukiondoa kipa sioni mchezaji wa kupelekwa timu ya wakubwa, hivi vijana wote Simba imeshindwa kuwaona
 
Hivi ni vigezo gani vinatumia kuwapata Simba B ?
Hawa nawaona kama ni watoto wa viongozi wanao julikana hapo Simba.
Ni mambo ya
"namleta mwanangu hapo mumpokee"
Haiwezekani watoto wanacheza dakika 180+ bila kupata goli hata moja.
Yaani mechi na Kagera na mechi na Ihefu hawana hata goli offside.
Hao ni kuwaondoa wote waanze moja kusaka vipaji halisi.
Lengo la Simba B ni kuja kucheza Simba A.
Sasa hapo kuna faida gani kama sio kupoteza muda tu na raslimali, maana mwisho wa siku hakuna hata mchezaji mmoja wa kuweza kucheza Simba A.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…