PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Ajali gari ya Simba UKAWA yapata ajali na kuua..
Habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa wale wanachama wa Simba UKAWA wamepata ajali wakiwa wanaelekea Shinyanga. Inasadikika zaidi ya watu watano wamefariki papo hapo.
======================
UPDATES
Habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa wale wanachama wa Simba UKAWA wamepata ajali wakiwa wanaelekea Shinyanga. Inasadikika zaidi ya watu watano wamefariki papo hapo.
======================
UPDATES
Taarifa mpya na za uhakika zinasema watuwatano (5) akiwemo kiongozi wa Simba Ukawa, Mohammed Kingolile Ngumi Jiwe wamefariki dunia na watu 15 wapo mahututi.
Ajali hiyo imetokea eneo la Mvomero ikihusisha basi dogo aina ya Toyota Costa lililopinduka na kuacha njia.
Polisi bado hawajatoa tamko rasmi.
Waliotangulia mbele ya haki mpaka sasa ni:Waluya, Rehema, Ali Kingolile Ngumi Jiwe Wabi na dereva wa gari Abdallah Fundi.