Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara wa bure wa hao wastaafu na kusajili mchezaji mpya na kumlipa mamilioni kipi kina unafuu?Hapo ndipo niliposhangaa na mimi, sijui wamewabeba kina Kagere na Mugalu wa kazi gani.
Anyway, naona pesa ya kuwalipa mishahara ya bure ipo tofauti na uto wanaodai Simba SC wana hali mbaya.
Hatuhitaji nafuu, Simba SC ina pesa.Mshahara wa bure wa hao wastaafu na kusajili mchezaji mpya na kumlipa mamilioni kipi kina unafuu?
Kagere na mugalu bado wana mikataba ya mwaka mzima Simba. Ulitaka waagwe kikatili kama kaseke na Balama walivyoagiwa twitter?Hapo ndipo niliposhangaa na mimi, sijui wamewabeba kina Kagere na Mugalu wa kazi gani.
Anyway, naona pesa ya kuwalipa mishahara ya bure ipo tofauti na uto wanaodai Simba SC wana hali mbaya.
Kagere alikuwa na goli Saba (7) na sio sita (6).....!! Umeongea fact mkuuKagere na mugalu bado wana mikataba ya mwaka mzima Simba. Ulitaka waagwe kikatili kama kaseke na Balama walivyoagiwa twitter?
Kuwalipa kwa kuvunja mkataba ni gharama kuliko kuwalipa mshahara.
Isitoshe Kagere alikuwa na Goli 6 kwenye ligi na alicheza muda mchache sana. Mugalu alikuwa majeruhi muda mwingi wa ligi.
Kwa kocha mwenye akili hawezi kumuacha Kagere hata kidogo. Kwa kocha anayejua mpira atajua namna sahihi ya kumtumia Mugalu kimataifa.
Kagere na mugalu bado wana mikataba ya mwaka mzima Simba. Ulitaka waagwe kikatili kama kaseke na Balama walivyoagiwa twitter?
Kuwalipa kwa kuvunja mkataba ni gharama kuliko kuwalipa mshahara.
Isitoshe Kagere alikuwa na Goli 6 kwenye ligi na alicheza muda mchache sana. Mugalu alikuwa majeruhi muda mwingi wa ligi.
Kwa kocha mwenye akili hawezi kumuacha Kagere hata kidogo. Kwa kocha anayejua mpira atajua namna sahihi ya kumtumia Mugalu kimataifa.
Siyo suala la utu bali kisheria mkuu.Endeleeni kuchanganya professionalism na utu