Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
Simba imekuwa timu yanye wazee wenye waijukuu wengi, simba imekuwa timu moja wapo inayopotosha soka la tanzania kwa kujinadi kuwa ndiyo timu bora ukanda haswa wa africa ya mashariku lakini ndivyo sivyo.
Pia simba imekuwa ni timu inayoshabikiwa sana na mashabiki walio na utimamu mdogo wa welevu, hapa nawazungumzia mashabiki wa simba ambao ukiwatizama kwa undani wengi akili zao hazi sawa ipo hivi.
Timu ambayo haina malengo yeyote kwenye soka la kimataifa inafahamika tu, timu hii imezoea mkimbizano na ngonjera za mashabiki wao ambao ni akili spana mkononi, timu yenye malengo ni ile katika mashindano inapokuwa kwenye hatu za kinyang'anyiro baasi angalau iwe na mwelekeo fulani wa kuwania kikombe basi hata wacheze final, ambapo kwa wazee wa simba final ni ndoto wao ni kila round ya mtoano wanabamizwa, hili limekuwa ni mazoea ambayo mazoea hayo pia ni ya kubahatisha bahatisha.
Simba ni vizee vye waijukuu vinavyozolotesha soka la tanzania kuna vijana walipata nafasi ya kucheza shirikisho walitembeza vipigo mpaka fainali,hawa wazee ifike mahala wapumzike na mashabiki zao spana mkononi
IKIUMA CHOMOAA..
Pia simba imekuwa ni timu inayoshabikiwa sana na mashabiki walio na utimamu mdogo wa welevu, hapa nawazungumzia mashabiki wa simba ambao ukiwatizama kwa undani wengi akili zao hazi sawa ipo hivi.
Timu ambayo haina malengo yeyote kwenye soka la kimataifa inafahamika tu, timu hii imezoea mkimbizano na ngonjera za mashabiki wao ambao ni akili spana mkononi, timu yenye malengo ni ile katika mashindano inapokuwa kwenye hatu za kinyang'anyiro baasi angalau iwe na mwelekeo fulani wa kuwania kikombe basi hata wacheze final, ambapo kwa wazee wa simba final ni ndoto wao ni kila round ya mtoano wanabamizwa, hili limekuwa ni mazoea ambayo mazoea hayo pia ni ya kubahatisha bahatisha.
Simba ni vizee vye waijukuu vinavyozolotesha soka la tanzania kuna vijana walipata nafasi ya kucheza shirikisho walitembeza vipigo mpaka fainali,hawa wazee ifike mahala wapumzike na mashabiki zao spana mkononi
IKIUMA CHOMOAA..