kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Kwa mujibu Wa ratiba ya ligi kuu Simba na Yanga zitakapokuwa na mechi zao dhidi ya Azam zitacheza kwenye uwanja Wa Azam complex. Swali langu Kwa TFF je uwanja Wa Azam una weza kuingiza watazamaji wangapi? Je kama uwanja ni mdogo TFF haioni kuwa itakuwa imewakatili watazamaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app