Simba vs Azam, Yanga vs Azam vipi uwezo Wa Uwanja Wa Azam?

Mtibwa nao wakomae simba na Yanga waende manungu badala ya mechi zao kuchezewa Jamhuri! Kama ni suala la 'pitch' hata ya manungu ipo vizuri!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtibwa(Manungu), Ruvu(Mabatini), na Mwadui(Mwadui Complex) viwanja vyao havina Majukwaa, Wakijenga, Msimu ujao Simba na Yanga wataenda kucheza, wasipojenga Mwaka huu basi msimu ujao hawatoruhusiwa kutumia viwanja hivyo hata kwa mechi ndogo. hii ni kwa mujibu wa TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…