Simba vs El Merreikh: Uwanja wa uhuru utumike na screen kubwa

Nimeuliza mkuu, kwanini washabiki wamezuiwa?
Kwa sababu kote kwingine mashabiki hawaruhusiwi kwa ajili ya corona. Wanaona simba ana faida ya ziada. Ili kuweka usawa na hapa mashabiki wasiingie uwanjani. Hata kocha wa Al Ahly alilalamika Sana.
 
Ikifanyika hivo na likawa vibe kweli, ita trend sana kwenye ulimwengu wa soka mitandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…