Simba Vs Kagera Sugar. Yanga Vs Jkt Ruvu tukutane Hapa

ajib anakosa penalty
 
Mpira umeisha simba kagera 1-0
 
Yanga goli LA 4 limefungwa na Msuva
 
Yanga leo wanashinda 4 kwa mujibu wa hesabu nlizopewa na wadau. hali kwa upande wa Simba ni ngumu mpaka muda huu. sikuwepo hewani nashukuru WAdau wengine wanaleta updates,


Mkuu unatisha. Huyo jamaa yako aliyekuambia anatisha! Hongera yenu!

FT Yanga4-JKT0
 
Nashukuru umeweza kunipongeza ingawa wengine hawakutaka kulikumbusha hili jambo kama vile hawakuliona nilipotabiri kuwa yanga wanashinda 4 .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…