Simba vs Prison: Hii ni mechi tamu

Simba vs Prison: Hii ni mechi tamu

Ukweli mashabiki wa simba wamekomaa sana kimichezo kwa sasa wanajua kabisa katika mpira kuna kushinda na kushindwa hawana hofu timu imepoteza lakini wako kimya na maisha yanaendelea ingekuwa kagera shuga hapa wangemfuata kocha waliemfukuza guest na kuanza kumrushia chupa za maji kisa kagera shuga imefungwa
Fuatilia Instagram ndo utajua yanayojiri kwa mashabiki wenzio wa NYAU FC
 
Prison wazuri ila kocha afanye kazi ya kuijenga timu iwe na coordination kuanzia katikati kuelekea goli la timu pinzani...hapo tu ndio wanakwama vinginevyo wekundu wangekufa nyingi leo
 
Back
Top Bottom