Huu uzi sijui uliwakosea nini wana JF😀Nafikiri huu ndiyo Uzi kuwa na comment chache sana kulinganisha na muda wa Uzi kuwa hewani
Inawezekana kipindi hicho, watu wengi walikuwa bado hawajagundua ya kwamba mashabiki wengi wa simba ni mbumbumbu.Huu uzi sijui uliwakosea nini wana JF😀
Nimeamua kujitolea kuulinda aisee.Huu uzi ulindwe.
Huu uzi mbumbumbu wanaupita kimya kimya!! Yaani kama hawauoni vile. Sijui wamepatwa na mshtuko baada ya kuona Mwenyekiti wao mstaafu alitaka kuwahamishia Ligi ya Zanzibar!Rage kwenye ubora wake yeye nimwenyekiti wamuda wote wambumbumbu
AahaaaaJana kwenye michezo, M/kiti wa simba alieleza wazi kuwa anakusudia kuwa na kikao na kamati kuu kisha wanachama wa simba ili kuomba baraka ya kujitoa kwenye ligi kuu bara, naomba wana JF mliopo jirani na mitaa ya msimbazi mnijuze mchakato huu unaendeleaje👶