Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Nov 16, 2023 #21 mazengo worriors said: Nafikiri huu ndiyo Uzi kuwa na comment chache sana kulinganisha na muda wa Uzi kuwa hewani Click to expand... Uzi ulianzishwa sept 2012 lakini haukuwahi kupata comment hata moja Hadi sept 2023 yaani miaka 11 baadaye? Hii ni rekodi.
mazengo worriors said: Nafikiri huu ndiyo Uzi kuwa na comment chache sana kulinganisha na muda wa Uzi kuwa hewani Click to expand... Uzi ulianzishwa sept 2012 lakini haukuwahi kupata comment hata moja Hadi sept 2023 yaani miaka 11 baadaye? Hii ni rekodi.
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Nov 16, 2023 #22 Huu ni wakati muafaka sasa kwa simba kuhamia Ligi ya Zanzibar, ili wakapambe na akina KMKM. Huku Bara waachie Yanga na Azam kutawala. Rage, ni wakati wako huu wa kupeleka huu ushauri kwa Mangungu ilo ufanyiwe kazi.
Huu ni wakati muafaka sasa kwa simba kuhamia Ligi ya Zanzibar, ili wakapambe na akina KMKM. Huku Bara waachie Yanga na Azam kutawala. Rage, ni wakati wako huu wa kupeleka huu ushauri kwa Mangungu ilo ufanyiwe kazi.