Simba Vs Ruvu Shooting: Tutegemee soka na matokeo ya aina gani?

Ht washapigwa mikia,tunasubiri half ya pili
 
Leo awa wazee kwenye defence ya Simba wamekutana na namba tisa wa kuwa challenge Fulu zuru Maganga ni namba tisa mwenye mwili, nguvu na kasi wazee wanapatashida kwelikweli sijui kama mpira ukiisha watapata muda wa kwenda kuvuta kiko.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…