Simba vs Toto Africa

Dakika ya 84: Kiiza anapiga shuti linadakwa na kipa wa Toto.

Dakika ya 82: Toto wanafanya mabadiliko, anatoka Jafar Mohamed, anaingia William Kimanzi.
 
Dakika ya 88: Toto wanapiga kona inaokolewa.

Dakika ya 88: Toto wanapata kona

Dakika ya 87: Simba wanaendelea kupambana lakini Toto wanakuwa wazuri wa kumiliki mpira.
 
MPIRA UMEMALIZIKA, SIMBA WAMEFUNGWA BAO 1-0.

Mpira umamliza kwenye Uwanja wa Taifa, Toto wanaibuka na ushindi wa bao 1-0, Simba wanafikisha michezo 25 wanabaki na pointi 57. Toto wamefikisha michezo 27 wanafikisha pointi 30.

Dakika ya 93+
 
anyway .. siyo mbaya toto wakiisaidia yanga kama vile ambavyo coastal walivyotutia tough.
 
Poleni sana wa mikia kwa kupigwa kigoli kimojaa tuu na toto la yanga!
 
Masikini wa matopeni, poleni sana mliokuwa watani wa jadi wa Yanga.
Kasi yenu ya kupotea ni kubwa sana hadi mnatuogopesha.
 
Nidham mbovu ndani na nje ya uwanja plus ujanja ujanja ndo kinacho waponza simba! Bila kujirekebisha wataendelea kuwa wamatopeni tuu, mbona enzi za mzee dalali timu ilikuwa imara na inashinda bila ujanja ujanja, leo team wamekabidhiwa 'wasomi' wajanja wajanja team imekuwa ya ovyo kabisa! Eeheee huuu ndo ukweli mchungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…