Simba vs Toto Africa

Simba vs Toto Africa

bora man aisee sio hii chelsea yangu, kutoka ubingwa hadi nafasi ya kumi doh
Ila kweli ndugu yangu pole haya mambo yanakera sana ukiangalia kikosi mlichochukua ubingwa hakajavurugwa sana sasa why muwe na matokeo mabaya msimu huu unakosa jibu.
 
Ila kweli ndugu yangu pole haya mambo yanakera sana ukiangalia kikosi mlichochukua ubingwa hakajavurugwa sana sasa why muwe na matokeo mabaya msimu huu unakosa jibu.
hata game siku hizi siangalii, mou angekuwepo nahisi tungewafuata villa
 
Hivi kwa nini kila kitu mnakimbilia nje ya uwanja?,

Kwamba Toto wamewahonga Simba ama?...

Kama ni ile red card ya Kessy...Refa hakukosea..Ni foul mbaya, adhabu ni straight red card..

Simba mwaka huu sio wenu tena..Jipangeni mwakani labda
Waende kwa Samson, man of influence a.k.a dr mwaka
 
Hayooo yamekaa wiki mbili bila kucheza sasa yamepoteza momentum
Ile ilikuwa inawasaidia, wakaamua kugoma ili kushindana na Yanga na Azam walio na mechi za kimataifa. Sasa itapigwa hadi mwisho wa ligi mbafu zenyu
 
Kuna video ya Hans Pope kataka kuchezea vitasa leo vya mashabiki wa mikia nashindwa kui-upload.

IKO HIVI....

Upumbavu wa wanachama na washabiki wa Simba SC ni kuendelea kuamini kuna mafanikio chini ya Utawala (usichanganye na uongozi) wa Evans Aveva.

Mmeona leo timu yenu inavyoendeshwa "kihuni" baada ya kadi ya yule "poyoyo" wa kiganda aliyeiporomosha Coastal, hii timu ya "kishenzi" namna hii ishinde iwakilishe nchi??? Mimi nitakuwa wa kwanza kupinga.

Kuwakilisha nchi sio sawa na kwenda chooni tu ukakaa na mavi ya katoka, tena kuna wakati angalau unalazimika kujikamua, lazima ujipange na upangike. Hatuna wachezaji wenye thamani na uwezo kama walio nayo Yanga na Azam.

Sio vibaya kuiga kutoka kwa Yanga, wenzetu wana kocha wa mpira, sisi tuna msimamizi wa mazoezi mtumwa wa viongozi, hata hesabu zake zinaonekana tu, mwalimu yupo "shalo" mpaka wachezaji wanamdharau.. Hivi Msuva anaweza kumletea kibesi Pluijm?? Anaanza kwanza kwa mfano?

Thamani ya kocha pia inachangia kuleta nidhamu na matokeo uwanjani, kocha kaokotwa "jalalani" huko ili watu wavute mpunga, kocha anafanya sub mpaka wachezaji wanashika vichwa..Maamae!!
Simba ya Aveva haipo serious kabisa na mpira, kuna masuala tofauti tu nadhani ndio yamewaweka pale, ni afadhali tupotee kwenye ramani ya mpira kuliko kupata nafasi kubwa ambayo hatuna maandalizi nayo.

Usenge mwingine ni wale walioukataa uongozi kisha wakaukubali kwa kushinda vimechi vya mwanzo, leo mnafungwa mnatoa povu wengine wanataka kupiga wachezaji, huu ni upumbavu wa hali ya juu, ni wazi hamjui ni nini mnataka, mnapeperuka tu kama makalio ya kahaba.

Kuna mfumo tunautaka ambao hata ikitokea tumefungwa tutasema ndivyo mpira ulivyo na hatutalaumu, sasa kuna ndezi kanyaboya wachache naona wamepokea matokeo na wanasema eti ndio mpira.. Manioko zao wote.

Kama huwezi kumgonga mkeo mpaka umchezee kidogo alegee, kwanini mnataka kuwakilisha nchi bila maandalizi? Ni sawa kumuingilia mkeo bila kumuandaa unakuwa umembaka, sasa kwanini Simba wanataka kuyabaka mashindano ya kimataifa? Haiwezekani aisee.

Jeff Gemo Mnyama Machine
The One Man Army
Affirmative Gemo The Great.

#SeriesFreeLife
Season One | Episode 19
Ha ha ha maneno kuntu makali sana
 
ikiuzwa pesa anapokea nani?
Inawekwa kwenye uwekezaji kama ujenzi wa uwanja na kununua wachezaji wakubwa hata watatu wenye hadhi ya kucheza TP Mazembe,Enyimbe n.k na alisema anataka kununua wachezaji kwa bajeti ya bil.6
 
Inawekwa kwenye uwekezaji kama ujenzi wa uwanja na kununua wachezaji wakubwa hata watatu wenye hadhi ya kucheza TP Mazembe,Enyimbe n.k na alisema anataka kununua wachezaji kwa bajeti ya bil.6
Mkuu hukuungana na wale jamaa Die Hard Simba SC Fans waliotaka kumchapa makofi Hasn Poppe ile Jana!!!!!!
 
Back
Top Bottom