KICHINJIO 15
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 823
- 629
Yeye anaona uchungu/mwasho wa pilipili ndo utamu wenyewe.Hapana.Mnunulie Juisi ya Miwa. Hasa kutokaTanga..
Kumbe? Kama ni hivyo anunuliwe tu Juisi ya Pilipili.....Atasoma kitabu cha hadithi cha Pili pilipili....Yeye anaona uchungu/mwasho wa pilipili ndo utamu wenyewe.
Naona juice ya pilipili ndo mahala pake
YapKumbe? Kama ni hivyo anunuliwe tu Juisi ya Pilipili.....Atasoma kitabu cha hadithi cha Pili pilipili....
bora man aisee sio hii chelsea yangu, kutoka ubingwa hadi nafasi ya kumi dohHapana penda mazima coz kuumia kwa ajili ya timu yako kuna raha yake.kama mimi man u inanitesa ila naipenda tu pamoja na mapito haya.
Faraja yangu ni kuwa mnadhihirisha kuwa nyie wa matopeniAsante mkuu. Nawe kila la Heri Na yeboyebo yenu.
Ila kweli ndugu yangu pole haya mambo yanakera sana ukiangalia kikosi mlichochukua ubingwa hakajavurugwa sana sasa why muwe na matokeo mabaya msimu huu unakosa jibu.bora man aisee sio hii chelsea yangu, kutoka ubingwa hadi nafasi ya kumi doh
hata game siku hizi siangalii, mou angekuwepo nahisi tungewafuata villaIla kweli ndugu yangu pole haya mambo yanakera sana ukiangalia kikosi mlichochukua ubingwa hakajavurugwa sana sasa why muwe na matokeo mabaya msimu huu unakosa jibu.
Tulia uzalishwehuyu Toto vipi hana adabu eeehhh!
Wote wanatumia Africa. Bado African leon kumfunga simbaYANGA AFRICA=TOTO AFRICA
Ndicho mnachokiweza. Utalaam hamnaHii game imechezwa nje ya uwanja...
Waende kwa Samson, man of influence a.k.a dr mwakaHivi kwa nini kila kitu mnakimbilia nje ya uwanja?,
Kwamba Toto wamewahonga Simba ama?...
Kama ni ile red card ya Kessy...Refa hakukosea..Ni foul mbaya, adhabu ni straight red card..
Simba mwaka huu sio wenu tena..Jipangeni mwakani labda
Kati ya kitu kinachonishangaza, ni ugumu wa mioyo ya simba. Aisee mna moyo mgumu sanaKawaida. Ila ubingwa upo msimbazi
Ile ilikuwa inawasaidia, wakaamua kugoma ili kushindana na Yanga na Azam walio na mechi za kimataifa. Sasa itapigwa hadi mwisho wa ligi mbafu zenyuHayooo yamekaa wiki mbili bila kucheza sasa yamepoteza momentum
Ha ha ha mkuu nilidhani we simba daima sasa mbona unawaumiza moyo?Kama sio kadi nyekundu refa alionyesha kadi ya rangi gani blue? Au zambarau? Utakuwa una matatizo ya macho.
Ha ha ha maneno kuntu makali sanaKuna video ya Hans Pope kataka kuchezea vitasa leo vya mashabiki wa mikia nashindwa kui-upload.
IKO HIVI....
Upumbavu wa wanachama na washabiki wa Simba SC ni kuendelea kuamini kuna mafanikio chini ya Utawala (usichanganye na uongozi) wa Evans Aveva.
Mmeona leo timu yenu inavyoendeshwa "kihuni" baada ya kadi ya yule "poyoyo" wa kiganda aliyeiporomosha Coastal, hii timu ya "kishenzi" namna hii ishinde iwakilishe nchi??? Mimi nitakuwa wa kwanza kupinga.
Kuwakilisha nchi sio sawa na kwenda chooni tu ukakaa na mavi ya katoka, tena kuna wakati angalau unalazimika kujikamua, lazima ujipange na upangike. Hatuna wachezaji wenye thamani na uwezo kama walio nayo Yanga na Azam.
Sio vibaya kuiga kutoka kwa Yanga, wenzetu wana kocha wa mpira, sisi tuna msimamizi wa mazoezi mtumwa wa viongozi, hata hesabu zake zinaonekana tu, mwalimu yupo "shalo" mpaka wachezaji wanamdharau.. Hivi Msuva anaweza kumletea kibesi Pluijm?? Anaanza kwanza kwa mfano?
Thamani ya kocha pia inachangia kuleta nidhamu na matokeo uwanjani, kocha kaokotwa "jalalani" huko ili watu wavute mpunga, kocha anafanya sub mpaka wachezaji wanashika vichwa..Maamae!!
Simba ya Aveva haipo serious kabisa na mpira, kuna masuala tofauti tu nadhani ndio yamewaweka pale, ni afadhali tupotee kwenye ramani ya mpira kuliko kupata nafasi kubwa ambayo hatuna maandalizi nayo.
Usenge mwingine ni wale walioukataa uongozi kisha wakaukubali kwa kushinda vimechi vya mwanzo, leo mnafungwa mnatoa povu wengine wanataka kupiga wachezaji, huu ni upumbavu wa hali ya juu, ni wazi hamjui ni nini mnataka, mnapeperuka tu kama makalio ya kahaba.
Kuna mfumo tunautaka ambao hata ikitokea tumefungwa tutasema ndivyo mpira ulivyo na hatutalaumu, sasa kuna ndezi kanyaboya wachache naona wamepokea matokeo na wanasema eti ndio mpira.. Manioko zao wote.
Kama huwezi kumgonga mkeo mpaka umchezee kidogo alegee, kwanini mnataka kuwakilisha nchi bila maandalizi? Ni sawa kumuingilia mkeo bila kumuandaa unakuwa umembaka, sasa kwanini Simba wanataka kuyabaka mashindano ya kimataifa? Haiwezekani aisee.
Jeff Gemo Mnyama Machine
The One Man Army
Affirmative Gemo The Great.
#SeriesFreeLife
Season One | Episode 19
Inawekwa kwenye uwekezaji kama ujenzi wa uwanja na kununua wachezaji wakubwa hata watatu wenye hadhi ya kucheza TP Mazembe,Enyimbe n.k na alisema anataka kununua wachezaji kwa bajeti ya bil.6ikiuzwa pesa anapokea nani?
Mkuu hukuungana na wale jamaa Die Hard Simba SC Fans waliotaka kumchapa makofi Hasn Poppe ile Jana!!!!!!Inawekwa kwenye uwekezaji kama ujenzi wa uwanja na kununua wachezaji wakubwa hata watatu wenye hadhi ya kucheza TP Mazembe,Enyimbe n.k na alisema anataka kununua wachezaji kwa bajeti ya bil.6