Salt Bae Senior Member Joined Jan 9, 2019 Posts 140 Reaction score 196 Mar 30, 2019 #1 Kwa nini mechi ya Simba inachezwa Morogoro na sio Uwanja wa Taifa wakati Simba ndio mwenyeji? Je mechi dhidi ya TP Mazembe itachezwa huko huko?
Kwa nini mechi ya Simba inachezwa Morogoro na sio Uwanja wa Taifa wakati Simba ndio mwenyeji? Je mechi dhidi ya TP Mazembe itachezwa huko huko?
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,378 Reaction score 29,739 Mar 30, 2019 #2 Salt Bae said: Kwa nini mechi ya Simba inachezwa Morogoro na sio Uwanja wa Taifa wakati Simba ndio mwenyeji? Je mechi dhidi ya TP Mazembe itachezwa huko huko? Click to expand... Itachezwa taifa. Kwa sasa viwanja vya dar viko kwenye maandalizi ya michuano ya under 17. Ila mechi ya simba vs mazembe itakuwa taifa.
Salt Bae said: Kwa nini mechi ya Simba inachezwa Morogoro na sio Uwanja wa Taifa wakati Simba ndio mwenyeji? Je mechi dhidi ya TP Mazembe itachezwa huko huko? Click to expand... Itachezwa taifa. Kwa sasa viwanja vya dar viko kwenye maandalizi ya michuano ya under 17. Ila mechi ya simba vs mazembe itakuwa taifa.
Ghiti Milimo JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 4,748 Reaction score 7,061 Mar 30, 2019 #3 Salt Bae said: Kwa nini mechi ya Simba inachezwa Morogoro na sio Uwanja wa Taifa wakati Simba ndio mwenyeji? Je mechi dhidi ya TP Mazembe itachezwa huko huko? Click to expand... Sijaelewa, kama unatuuliza, au unatujuza!
Salt Bae said: Kwa nini mechi ya Simba inachezwa Morogoro na sio Uwanja wa Taifa wakati Simba ndio mwenyeji? Je mechi dhidi ya TP Mazembe itachezwa huko huko? Click to expand... Sijaelewa, kama unatuuliza, au unatujuza!