Simba Vs Yanga fans betting

Mimi Oxxedo kutoka Vuatulole Moro naitakia Yanga ushindi wa Bao mbili..........
 
Hahahaaa. Ameshaona hapa nikazie tu Baba Samsung.

NAKAZIA. [emoji23][emoji23][emoji23]
Leo wataisoma bado masaa machache tu game linaanza kumi na moja kamili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaa. Bora uwakumbushe aisee maana hawachelewi hao.

Sababu wanakuja na matokeo mfukoni yakiwa tofauti hasira zinaishia kwenye viti. Teh teh teh.
Safari hii wakifanya tena ule umatopeni wao jiwe anawatia jera.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wataipata pata. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…