Simba Vs Yanga,January 4: Show ya 5 bila kujirudia

Simba Vs Yanga,January 4: Show ya 5 bila kujirudia

Yanga ni sawa na muembe uliyo nyuma ya nyumba, ukitaka kula maembe ni muda wowote ule.
 
Mechi ni siku gani?

Kama ni jmosi basi Yanga atachezea, jpili Simba atachezea, katikati ya wiki droo
 
View attachment 1306684

Hakuna ubishi uwezo wa timu hizi mbili unadhibitisha matokeo ya mechi ya Simba Vs Yanga hiyo January,2019. Yanga inakwenda kula vitasa vya nguvu.

Yanga imeonyesha kiwango hafifu sana na mashabiki wameonyesha hofu na kukosa imani na kikosi. Hali hii ni tofauti kabisa na kikosi cha Simba.

Simba yenye kikosi hatari kinachocheza mpira wa kitabuni,imekuwa na uhakika wa kushinda mchezo.

Katika mechi tatu ilichocheza hivi karibuni wamefunga goli 12 huku ikicheza soka la kuvutia.

Ni dhahiri Yanga inategemea zaidi ndondokela na sio uwezo wa kufunga kwa mbinu.

Kwa uwezo wa timu hizi kwa sasa,naziona kabisa tano bila zileeeeeeeeeeeeee
Alisikika mbumbumbu akisema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1306684

Hakuna ubishi uwezo wa timu hizi mbili unadhibitisha matokeo ya mechi ya Simba Vs Yanga hiyo January,2019. Yanga inakwenda kula vitasa vya nguvu.

Yanga imeonyesha kiwango hafifu sana na mashabiki wameonyesha hofu na kukosa imani na kikosi. Hali hii ni tofauti kabisa na kikosi cha Simba.

Simba yenye kikosi hatari kinachocheza mpira wa kitabuni,imekuwa na uhakika wa kushinda mchezo.

Katika mechi tatu ilichocheza hivi karibuni wamefunga goli 12 huku ikicheza soka la kuvutia.

Ni dhahiri Yanga inategemea zaidi ndondokela na sio uwezo wa kufunga kwa mbinu.

Kwa uwezo wa timu hizi kwa sasa,naziona kabisa tano bila zileeeeeeeeeeeeee
Well said mkuu, gongowazi tano haziepukiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga ina defence imara, Lamine Moro, Yondani, Dante, sioni yule mzee asiekuwa na mbio anaesubiri magoli ya kuvizia Kagere akifanya lolote, simba wakijitaidi sana wataambulia droo.
 
Tatizo ni kiwango chenu kwa sasa, hamna tofauti na timu ya Arsenal (mashabiki wa Arsenal namitaka radhi kwa hili)
Yanga kwa sasa haina uhakika wa kupata matokeo kwenye mechi zake, na kudhihirisha hilo kwenye michezo yake miwili inayofuata itaambulia point moja tu.

Kila lakheri Shadeeya
Kila lakheri Biashara united
Kwani nyie si mna uhakika Wa kupata matokeo kwa kina kmc,lipuli nk? Sisi tuna uhakika Wa kupata matokeo kwenu kuliko kwa vitimu vidogo vinavyotukamia
 
Mechi ni siku gani?

Kama ni jmosi basi Yanga atachezea, jpili Simba atachezea, katikati ya wiki droo
Hii yanga ya majitu hatari kama Kiakala,Nchimbi,Yirpe,makame,n.k haihitaji unajimu ndugu!
 
Hivi ikitokea
Ibrahim Ajibu akaifunga goli Yanga je
Atashangilia ?
Maana sidhani kama atajisikia vizuri kuwaudhi Yanga.
Naomba Jibu toka kwa Ajibu mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1306684

Hakuna ubishi uwezo wa timu hizi mbili unadhibitisha matokeo ya mechi ya Simba Vs Yanga hiyo January,2019. Yanga inakwenda kula vitasa vya nguvu.

Yanga imeonyesha kiwango hafifu sana na mashabiki wameonyesha hofu na kukosa imani na kikosi. Hali hii ni tofauti kabisa na kikosi cha Simba.

Simba yenye kikosi hatari kinachocheza mpira wa kitabuni,imekuwa na uhakika wa kushinda mchezo.

Katika mechi tatu ilichocheza hivi karibuni wamefunga goli 12 huku ikicheza soka la kuvutia.

Ni dhahiri Yanga inategemea zaidi ndondokela na sio uwezo wa kufunga kwa mbinu.

Kwa uwezo wa timu hizi kwa sasa,naziona kabisa tano bila zileeeeeeeeeeeeee


ONYO
Kwa mashabiki wa Yanga wenye tabia za kuweka wake zenu rehani. This time hatua msalia mtume,mkeo tutamchukua
tukupe mfano uliknaje mechi ya man city vs man u. Halafu ndo ufute huo uropokaji wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga ina defence imara, Lamine Moro, Yondani, Dante, sioni yule mzee asiekuwa na mbio anaesubiri magoli ya kuvizia Kagere akifanya lolote, simba wakijitaidi sana wataambulia droo.
Hawa walioruhusu goli nane Kwenye mechi kumi na moja walizocheza na defence iliyoruhusu goli 3 Kwenye mechi 12 yupi ana beki bora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1306684

Hakuna ubishi uwezo wa timu hizi mbili unadhibitisha matokeo ya mechi ya Simba Vs Yanga hiyo January,2019. Yanga inakwenda kula vitasa vya nguvu.

Yanga imeonyesha kiwango hafifu sana na mashabiki wameonyesha hofu na kukosa imani na kikosi. Hali hii ni tofauti kabisa na kikosi cha Simba.

Simba yenye kikosi hatari kinachocheza mpira wa kitabuni,imekuwa na uhakika wa kushinda mchezo.

Katika mechi tatu ilichocheza hivi karibuni wamefunga goli 12 huku ikicheza soka la kuvutia.

Ni dhahiri Yanga inategemea zaidi ndondokela na sio uwezo wa kufunga kwa mbinu.

Kwa uwezo wa timu hizi kwa sasa,naziona kabisa tano bila zileeeeeeeeeeeeee


ONYO
Kwa mashabiki wa Yanga wenye tabia za kuweka wake zenu rehani. This time hatua msalia mtume,mkeo tutamchukua
Rekebisha kidogo ni January 4 2020 na sio January 4 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom