Simba vs Yanga Okt 16, 2010

\

Mkuu hawawezi kubadilika ndivyo walivyo
 
Waungwana habari zinasema Simba wamekata rufaa wanadai Yanga imechezesha wachezaji 13, ili kuthibitisha wanadai hata mganga wao wa Manyoni aliliona hilo, ha ha ha
 
Najisikia rahaaa mwenzenu Yanga kashinda na Arsenal kashinda we acha tu weekend tamuuuu

Hilo ndo neno.

Ila radha ya mpira ilipotea pale walipoweka tangazo za kampeni na umati uliokuwa kwenye kampeni za mtaalamu wa kulegea jukwaani.
 
Hivi tukakomaa lini? Hii nchi bado ni ya enzi za mawe (STONE AGE) huku Sheikh YAHYA anasema atamwekea kinga JK na huko Simba wanaingia uwanjani kwa kutanguliza ******? Psychlogically walishashindwa kabla ya mechi na JK hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…