Ni kama Antonio Valencia anavyochomekeaKatika moja ya mabeki wasafi wastaarabu ni Omar Daf jamaa alikuwa amechomekea mwanzo mwisho. Katika career yake kadi zinahesabika.
Sio Senegal ile. Wewe unazungumzia Stars ya Maximo wakati wanatoka Brazil au unazungumzia ipi?Senegal Kikosi cha Dhahabu waulize Taifa Stars walikula 5 kule kwao wakati huo wakitudanganya kuwa watafuzu WC Nyokoo sana hii timu.
Najua sio hiyo Senegal inayozungumzia ila Na mimi nakumbushia Senegal iliyomlala Stars 5 (Stars ya Masikio Masikio)Sio Senegal ile. Wewe unazungumzia Stars ya Maximo wakati wanatoka Brazil au unazungumzia ipi?
Tulipigwa 4 sio 5Najua sio hiyo Senegal inayozungumzia ila Na mimi nakumbushia Senegal iliyomlala Stars 5 (Stars ya Masikio Masikio)
Wewe ni 5 TakatifuTulipigwa 4 sio 5
Yah Mkuu ni 4 Sorry nilikuwa nimekumbuka Algeria humo humo, dah hii timu yetu ina kila matokeo.Tulipigwa 4 sio 5
Tulipigwa 4 tena Kama nakumbuka vizuri zote kipindi Cha kwanza. Kipindi Cha pili wakawatoa wachezaji wao muhimu kina Mamadou Niang baada ya kuona hatuna lolote.Wewe ni 5 Takatifu
Sure!
miaka flani aliwahi mtemea mtu mate.Pia alikuwa mtukutu sana ndani na nje ya uwanja
mechi ile ilichezwa siku ya ijumaa mchana ,ikiwa ni mechi ya ufunguzi wa kombe la dunia, ikihusisha bingwa mtetezi France na timu toka africa,ufaransa walilaani lile goli maana aliyefunga alikuwa amekaa chini ndio akauzogeza mpira kwenye nyavu,huyu mwenye jezi namba 11 alikuwa anaweza kumiliki mpira dakika 2
Tena lilikua golden goal...iliniumaaaGoli la uturuki lilifungwa na ilhan Mansiz kupitia cross ya Davala (huyu jamaa alikuwa na kiduku)
Sure unit davalaSure!
Kumbe huyu dogo musonda wa Chelsea ana asili ya Zambia?Ukiachilia mbali swala la ulimbukeni na kuridhika wengi wao huwa walaghai wa umri ndio maana hutamba kwa muda mfupi. Ghana iliwakuta hali hiyo miaka ya 90 walikuwa wanachukua sana hizi world cup under nini nini sijui mpaka ilipokuja gundulika hiyo ghilba yao na nadhani walifungiwa kushiriki kwa muda flan. Kumbe vilikuwa vijeba nyembe nyingi tu zimepita videvuni pana visiki vya khatari.Pia nchi za ulaya wametuzidi hapo vijana wanaona kuliko kucheza timu za kwao bora wakacheze kwa wazungu mtizame chary musonda wa Chelsea huyu dogo ataishia kucheza kama sio England basi Belgium ambapo alizaliwa waqt huo baba yake Charles musonda wa zambia akicheza underletch ya ubeligiji nae kazaliwa miaka mitatu tu baada kutokea kule Gabon ambapo kikosi cha kk eleven kilipoteza maisha.
Akiwa Liverpoolmiaka flani aliwahi mtemea mtu mate.
Mkuu hongera sana kwa kumbukumbu mjarabu za mpaka siku ya mechi ilivyochezwa.mechi ile ilichezwa siku ya ijumaa mchana ,ikiwa ni mechi ya ufunguzi wa kombe la dunia, ikihusisha bingwa mtetezi France na timu toka africa,
Mashabiki takribani elfu 60 hawakuamini bingwa mtetezi akidhalilishwa na timu changa toka africa.
watu kama kina Zidane, david trezegut, bathez, viel, thiery henry, Christian kalembeu.
daaah Miaka imekimbia.