Simba wa Teranga: Kikosi cha dhahabu kilichotikisa Dunia


RIP Papa Bouba Diop
 
Kipa akiwa ni Tony Silver, huku beki asiyecheka Ferdinand Colly akifanikisha msako wa kuzibiti washambuliaji wakorofi.
 
2002(world cup).....South korea walifikaje semi-final?????
 
2002(world cup).....South korea walifikaje semi-final?????
Mechi za makundi ,alishinda goli 2 dhidi ya Poland,akatoa sare na U.S.A,akampiga Portugal goli 1 pia akamshindilia Italy goli 2, baadae akamshindilia Spain kwa mikwaju ya penalti baadae akatolewa na Germany kwa kupigwa goli 1 na mwisho akacheza mshindi wa tatu na Uturuki najua unashangaa hivi kwa mpira gani iii Korea afikie hatua hiyo,lakini nikutoe hofu wakati huo south Korea ilipikwa ikapikika ile spidi ambayoanayo bwana Son pale Tottenham ndio spidi ambayo wachezaji wote 23 walikuwa nayo yaani ni balaaaa huku bwana Jisung Park yule mchezaji wa Manchester akipeppea upande wa kulia kama roboti hahahahaaa hatareeeee .
 
Mechi na Italy, S. Korea walibebwa sana kupita kiasi. Goli la Italy lilikataliwa. Mfungaji wa Korea Ahn Jung Whan alifukuzwa na timu yake ya Perugia baada ya mashindano.
2006 Italy walipendelewa kufidia uonevu wa 2002. Mfano ni mechi ya Italy v USA.
 
Mechi na Italy, S. Korea walibebwa sana kupita kiasi. Goli la Italy lilikataliwa. Mfungaji wa Korea Ahn Jung Whan alifukuzwa na timu yake ya Perugia baada ya mashindano.
2006 Italy walipendelewa kufidia uonevu wa 2002. Mfano ni mechi ya Italy v USA.
Ata na Spain kuna goli lilikataliwa.
 
Na hao mastriker wote watatu walitoka kwenye michuano bila goli hata moja, waliishia kugongesha miamba tu.
 
Ilhan Mansiz ndo alitupiga Chuma ya dhahabu.

Aliingia Sub nadhani huyu.
Wataje pia Hakan Sukur, Hassan Sas, Emre, Mansiz , Izzet, Davala Among others !. Halaf kipa wao alipaka nini cjui usoni

Uturuki ya moto Sana hiyo!!!!
 
Namkumbuka mtu mmoja hatari wakuitwaga Camara dah ilikuwa hatari sana, mategemeo ya Africa yalizimika ghafla baada ya hawa jamaa kutolewa! Sijui kama itakuja kutokea tena hii!
Suleiman Camara + Henry Camara.. Dah
 
Senegal hiyo ilikua ipo vzr sn, kina fadiga, diof,henry camara, cise daaah. Inabid kina mane wapambane jmn nao wafike mbl
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…