Endelea kujifariji mkuu, poleImewauma sana kwa mnyama kuchukua hilo kombe, inabidi mtafute namna ya kujifariji
Nani?Imewauma sana kwa mnyama kuchukua hilo kombe, inabidi mtafute namna ya kujifariji
Ushahidi wa yote haya uko wapi? Tukisema Vijana wa Siku acheni tabia za Kupigiwa Miluzi kwani zinawaharibu hadi Akili zenu mnaona tunawaonea. Yaani hapa umeshatoka Kupigishwa zako Miluzi na Kuchoshwa vilivyo ukaamua kuja kumalizia Hasira zako kwa Kutunga Habari za Uwongo kuhusu Simba SC. Wanaume Wapiga Miluzi mna taabu mno.Triple C mwamba wa Lusaka kaondoka kambini bila ruhusa baada ya uongozi wa Simba kutompa posho ya kombe la muungano.
Pia ana dai kuwa kwenye mkataba wake walikubaliana kila Simba iki chukua kombe anaongezewa mshahara sasa baada ya kubeba kombe Simba imesema hili sio kombe.
Mambo yamekuwa mambo π€ππ
Ni kweli, ni Bonanza.Ilo ni bonanza tu mkuu, uongozi upo sawa
Bado hujasema! Subiri nikubinue ndiyo utafahamu ni miluzi au nyimbo?Ushahidi wa yote haya uko wapi? Tukisema Vijana wa Siku acheni tabia za Kupigiwa Miluzi kwani zinawaharibu hadi Akili zenu mnaona tunawaonea. Yaani hapa umeshatoka Kupigishwa zako Miluzi na Kuchoshwa vilivyo ukaamua kuja kumalizia Hasira zako kwa Kutunga Habari za Uwongo kuhusu Simba SC. Wanaume Wapiga Miluzi mna taabu mno.
hapo umexema kwel etyHabari za Simba waulize Yanga
Ila habari za Yanga, Simba hatuna muda wa kuzifatilia
Kopo la plastiki nalo kombe? Unaumwa uharo weweImewauma sana kwa mnyama kuchukua hilo kombe, inabidi mtafute namna ya kujifariji
uto waliogopa hawatoshindaUnawezaje kuliita kombe wakati Yanga hajashiriki
Yule jamaa aliekufamania akakumbia achague kuliwa au kufa ulichagua nini?Ushahidi wa yote haya uko wapi? Tukisema Vijana wa Siku acheni tabia za Kupigiwa Miluzi kwani zinawaharibu hadi Akili zenu mnaona tunawaonea. Yaani hapa umeshatoka Kupigishwa zako Miluzi na Kuchoshwa vilivyo ukaamua kuja kumalizia Hasira zako kwa Kutunga Habari za Uwongo kuhusu Simba SC. Wanaume Wapiga Miluzi mna taabu mno.
Yule Jamaa Basha wako Tukuka au?Yule jamaa aliekufamania akakumbia achague kuliwa au kufa ulichagua nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Swali gani hili, ukiona yupo hai hadi leo si unajua kabisa alichagua nini?Yule jamaa aliekufamania akakumbia achague kuliwa au kufa ulichagua nini?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hapana ila Nilikubahashia Wewe.