Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

Simba wadhamiria kukamilisha uwanja wao, Mo Dewji achangia Bilioni 2

Shakir

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
1,627
Reaction score
1,926
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.

Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji. Kwa kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 bilioni. Nawaomba wanasimba tuchangie sote.

Dewji.jpg
 
Nguvu mojaa. Mimi naenda kuweka cha ten. Tusiwe watu wa kulaumu sana wkt hatujawahi kuchangia chochote kwny team. Kwa hili mashabik wanahusika moja kwa moja kuonyesha upendo kwa team yao. Hongera sanaa Mo kwa kulipitisha hili. Nafikir hata uto wataliiga japo washaamza kukandia
 
Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili...
Bosi janja janja kachangia bilioni 2 kujenga uwanja wa bilioni 40, aya wanachama tafuteni bilioni 38 msifikiri anawajengea uwanja sijui aliwahaidi nini wakati ananunua hisa, keshapata kamserereko ka wanachama kuchangia amechangamkia fursa
 
Back
Top Bottom