Simba wafanyiwa vurugu congo: Mashabiki wa As vita wavamia hotel ya Simba, Luis nusra apigane

Simba wafanyiwa vurugu congo: Mashabiki wa As vita wavamia hotel ya Simba, Luis nusra apigane

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671

fujo pic

Mashabiki wa kikosi cha As Vita wamevamia kambi ya Simba iliyopo katika hoteli ya Rayol hapa Kinshasa muda mchache kabla ya kwenda uwanjani.

Mashabiki hao mara baada ya kufika hapa hotelini saa 11:10 jioni kwa saa za Kinshasa walianza kuimba nyimbo zao mbalimbali.

Wakiwa wanaimba nyimbo hizo walikuwa wakipiga jengo la hoteli ambao walikuwa wamefikia Simba.

Hawakutaka kumuona mtu yoyote ambaye hawapo nao anapita katika eneo hilo zaidi ya wao kufanya vurugu ikiwemo kupigana.

fujo pic 1

Mmoja wa wahudumu ambaye ni Mkongomani alikutana na kadhia ya kupokonywa simu na mashabiki hao akiwa anawarekodi.

Walinzi wa hoteli hiyo walishishirikiana kwa pamoja kuwazuia kuna muda walifanikiwa wakati mwingine walionekana kushindwa.

Baada ya kufanga vurugu mbalimbali nje ya hoteli hiyo ya Simba waliondoka wakiwa na pikikipi zao huku wakiwa wanaimba.

Kuna mashabiki walioshika silaha kama fimbo na walikuwa wanapigana na kuwapiga watu wengine.

Kuna ambao walikuwa wanaonyesha ishara mbalimbali kama ile ya kunyonga

Muda mfupi baada ya mashabiki wa AS Vita kuvamia hoteli ya Royal waliyofikia Simba mjini Kinshasa, leo Februari 12, 2020 winga wa timu hiyo, Bernard Morrison alitaka kuzichapa nao.

Morrison alitoka mlangoni akionyesha nia ya kuwafuata ila alizuiwa na walinzi wa hotel pamoja watu waliokuwa karibu nae.

Hata hivyo alirudishwa ndani ya hoteli na kutulizwa asifanye chochote na kutulia.

Simba imeanza msafara wa kwenda Uwanja wa Stade Des Martyrs kwa ajili ya mtanange wa hatua ya makundi CAF dhidi ya AS Vita utakaoanza saa 4 kamili usiku.
 
Visingizio vya Kipumbavu kama hivi huwa sivitaki kwani Simba SC walitakiwa kulijua hili ( hilo )

Kwani Wakitufanyia Fujo hizo Uwanjani ( eneo la Kuchezea ) nao huwa wanakuwepo?

Kwahiyo unashauri na Wao wakija huku Tanzania tuwaambukize Corona Kilazima au?

Upuuzi mtupu!
 
Visingizio vya Kipumbavu kama hivi huwa sivitaki kwani Simba SC walitakiwa kulijua hili ( hilo )

Kwani Wakitufanyia Fujo hizo Uwanjani ( eneo la Kuchezea ) nao huwa wanakuwepo?

Kwahiyo unashauri na Wao wakija huku Tanzania tuwaambukize Corona Kilazima au?

Upuuzi mtupu!
Aisee

Wewe ni mpumbavu Sana

Daah
 
Visingizio vya Kipumbavu kama hivi huwa sivitaki kwani Simba SC walitakiwa kulijua hili ( hilo )

Kwani Wakitufanyia Fujo hizo Uwanjani ( eneo la Kuchezea ) nao huwa wanakuwepo?

Kwahiyo unashauri na Wao wakija huku Tanzania tuwaambukize Corona Kilazima au?

Upuuzi mtupu!
Hivi we mjinga huwa unasoma kwanza kabla ya kujibu, au unajibu tuu usichojua
 
Uzuri wa huku Congo uwanjani hakutakuwa na mashabiki kwahiyo mchezaji wa 12 hayupo
 
Visingizio vya Kipumbavu kama hivi huwa sivitaki kwani Simba SC walitakiwa kulijua hili ( hilo )

Kwani Wakitufanyia Fujo hizo Uwanjani ( eneo la Kuchezea ) nao huwa wanakuwepo?

Kwahiyo unashauri na Wao wakija huku Tanzania tuwaambukize Corona Kilazima au?

Upuuzi mtupu!
Kwani simba ndo wamelalamika
 
Visingizio vya Kipumbavu kama hivi huwa sivitaki kwani Simba SC walitakiwa kulijua hili ( hilo )

Kwani Wakitufanyia Fujo hizo Uwanjani ( eneo la Kuchezea ) nao huwa wanakuwepo?

Kwahiyo unashauri na Wao wakija huku Tanzania tuwaambukize Corona Kilazima au?

Upuuzi mtupu!
You are pathetic
 
Akilalamika Mwanasimba na pia ikiripotiwa kwa Ukubwa huu tunaouona unaweza Kuwaweka kando kuwa na Wao hawalalamiki Mioyoni mwao?
Sasa ya moyoni mwa mtu uwezi kujua, pili, angalia taarifa Mara Luis alitaka apigane, Mara Morrison alitaka kutoka nje akawapige. Serious unaweza ukaiamini hii habari.
Mwisho nilikuuliza vile kwa sababu ulienda kuwa attack moja kwa moja simba kua wasilete visingizio. Utafikiri hii habari umemsikia kiongozi au kwenye page ya simba ikiwekwa
 
Back
Top Bottom