Simba waichapa maji maji bila huruma

Simba waichapa maji maji bila huruma

Haya umeshinda wewe usie shoga kudandia mambo yasiyokuhusu utakalia kidole tusiharibiane siku kama comment haikukukalia vizur ungepita kama wengne wanavyopita coz hakuna aliekutag wala kukutaka upite hapo huo ni usenge wa hali ya chin
Wewe hutakalia kidole utakalia dushe lenyewe ukileta post za kindezi hapa lazima zikosolewe hutaki usipost hili jukwaa public kila mtu ana Uhuru wa kucomment kukosoa etc

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
Eti wangoni wametuuzia mechi! Acheni dharau Yanga. Majimaji wamecheza vizuri zaidi ya simba,hasa kwa possession ya 53%.Shida yao beki ilikuwa inapoteana.Simba kashinda kwa mbinu tu na si kubebwa kama nyinyi mliosababisha refa kuondolewa kwa kuwabeba.Hata kama mchukue huo ubingwa bado mtaendelea kugawa point huko nje maana uwezo wa kushindana kwa haki hamna.
Mbinu? Hata saa mbovu huotea kuonesha wakati sahihi angalau mara mbili ndani ya saa 24.
 
Back
Top Bottom