rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ni pesa ndogo Sana, Kama walisema pesa ya Azam bilioni 40 kwa miaka kumi ni ndogo, wanawezaje kukubali mkataba wa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu sio main sponsor.Hata ukilinganisha bado mkataba huu ni afadhali kwani miaka 3 ni milioni 500 kwa mwaka.Ni pesa ndogo Sana, Kama walisema pesa ya Azam bilioni 40 kwa miaka kumi ni ndogo, wanawezaje kukubali mkataba wa hivyo
Bilioni 40 ni bilioni 4 kwa mwaka.Huyu sio main sponsor.Hata ukilinganisha bado mkataba huu ni afadhali kwani miaka 3 ni milioni 500 kwa mwaka.
Bilioni 40 kwa miaka kumi ni milioni 400 kwa mwaka na ni mkataba mrefu.Mara 3 na zaidi ya huu unaoulinganisha na thamani ya pesa inapungua baada ya miaka 10 kulinganisha na miaka 3.
Hawawezi kuwa na mkataba ambao unaupita wa Main Sponsor kifedha.Bilioni 40 ni bilioni 4 kwa mwaka.
Udogo unakuja kwa sababu ni kampuni ya vinywaji, vingwkuwa vikampuni vidogodogo tungeusifia
Hicho nafahamu tatizo haya MAKAMPUNI yakidhamini event ya siku moja ama muziki au mamiss wanadhamini pesa ndefu.Hawawezi kuwa na mkataba ambao unaupita wa Main Sponsor kifedha.
Lakini I get your point.