Mzee mpili alishasemaga kuhusu uchawi wa hawa simbaWakati kipindi cha pili kinaenda kuanza, Manura alielekea golini kwake na wakati anaweka taulo, kuna kitu cheupe alikitupa pale golini.
Huu ni muendelezo wa matukio kibao ya Klabu ya Simba kutumia ndumba. Tufike mahali tuache mpira uchezwe, hizi kamati za ufundi hazitusaidii kwa lolote.
Angalia hapo golini.
View attachment 2396538
Utopolo jiandaeni na mechi dhidi ya waarabu original, hiyo dabi imeshapitaWakati kipindi cha pili kinaenda kuanza, Manura alielekea golini kwake na wakati anaweka taulo, kuna kitu cheupe alikitupa pale golini.
Huu ni muendelezo wa matukio kibao ya Klabu ya Simba kutumia ndumba. Tufike mahali tuache mpira uchezwe, hizi kamati za ufundi hazitusaidii kwa lolote.
Angalia hapo golini.
Siyo Simba tu na Yanga pia wana entertain sana huo ujinga ila. Nadharau ishu za kichawi kichawi.Wakati kipindi cha pili kinaenda kuanza, Manura alielekea golini kwake na wakati anaweka taulo, kuna kitu cheupe alikitupa pale golini.
Huu ni muendelezo wa matukio kibao ya Klabu ya Simba kutumia ndumba. Tufike mahali tuache mpira uchezwe, hizi kamati za ufundi hazitusaidii kwa lolote.
Angalia hapo golini.
View attachment 2396538
Club Africain ya TunisiaSimba bwana jana wangefungwa wangesingizia wamerogwa!!
Nyie ndio wachawi wenyeweNawadharau sana watu wanaoendekeza stori za uchawi hapa jukwaani.
Hapa alikula chuma ngapi akachika hivi!?Sijui kwanini Makolo wanapenda sana Ushirikina
View attachment 2396825
Wewe unayeshadidia ndiye kigagulaNyie ndio wachawi wenyewe
Uchawi ulikuwepo tangua enzi za mitume na manabii leo wewe ambaye bado unanuka maziwa ujifanye eti hujui ,! Kama sio unafiki ninini?Wewe unayeshadidia ndiye kigagula
Ananuka nini? 🤣🤣🤣Uchawi ulikuwepo tangua enzi za mitume na manabii leo wewe mabaye bado unanuka maziwa unifanye hujui ,! Kama sio unafiki ninini?
Hapo tukimkagua mwilili unaweza kuta anachale hadi kwenye makalio halafu anajifanya eti hajui kama kuna uchawiAnanuka nini? 🤣🤣🤣