Simba wakiendeleza jadi yao ya uchawi

Simba wakiendeleza jadi yao ya uchawi

Sijui kwanini Makolo wanapenda sana Ushirikina
View attachment 2396825
Halafu hii hapa ni editng ya kishamba sana. Ona jinsi ulivyopaka hiyo Rangi huko nyuma ya ukuta, huko kulia kwenye Rangi nyekundu ukijaribu kufuta uasili wa picha.
Naona umetumia paintbrush halafu huwezi kuitumia. Ulofa huu.
 
Unajua wachawi wakati wote huwa na wasiwasi juu hilo jambo. Kwa vile wewe ni mchawi wakati wote unahofia kulogwa.
Wewe ndiyo MCHAWI.
Wakati kipindi cha pili kinaenda kuanza, Manura alielekea golini kwake na wakati anaweka taulo, kuna kitu cheupe alikitupa pale golini.

Huu ni muendelezo wa matukio kibao ya Klabu ya Simba kutumia ndumba. Tufike mahali tuache mpira uchezwe, hizi kamati za ufundi hazitusaidii kwa lolote.

Angalia hapo golini.
View attachment 2396538
 
Hapo tukimkagua mwilili unaweza kuta anachale hadi kwenye makalio halafu anajifanya eti hajui kama kuna uchawi
Na ndivyo walivyo wachawi, wanajihami kujisafisha waonekane wema kumbe ndiyo vigagula wa kutupwa.
Kuthibitisha hayo ndiyo maana siku zote wanapita njia/milango isiyo rasmi.
 
Bila mzee mpili kutangulia jumamosi taifa mlikuwa mfe umbwa nyie
 

Attachments

  • IMG_20221021_185011.jpg
    IMG_20221021_185011.jpg
    79.2 KB · Views: 1
  • IMG_20221021_185008.jpg
    IMG_20221021_185008.jpg
    109.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom