Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

[emoji23][emoji23] Kwa hali hii ndo mnasemaga mmeizowea robo Mtani. [emoji23]

Mbona kama hujateggemmeeea hiivvviii. Lol [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani, hawa Jwaneng walitukosesha furaha 2021 kwan umesahau? Sikua na imani kwa kweli nisiwe muongo.

Yaan kipigo tulicho wapaa hawa mbwaa wamestahili na wakome kabisaa kutuzoea, sisi sio level zao.
 
Walale? Wanalala kwa amani au raha gani waliyonayoo? Yaan leo ni kuwapa heka heka mwanzo mwisho.

Kuna huyu alijifanya yeye mjuaji sana, kesho namuibukia kwake nkamsuuze vyediii, nikitoka hapo rohoo kwatuuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti kutupa heka heka. Lol

😂😂😂
 
Mazafanta na ole wako tukuone hapa na tunapiga ban ukoo wako wote mbuzi wa head wewe🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom