Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Kama nakuona vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa ushindiii huu, hebu somesha muamalaa.
Unakaaje kizembee na mamsapu wako niko full shangwee?
Unaniangusha bhana, em fanya jambooo.
 
Sema nimefurahia sana huu ushindi wa Makolo....japo ni kama una element za ubahasha bahasha

Furaha yangu ni kuwa tunapeleka timu mbili ....robo fainaliiiiii

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] lol.

Na vile kesho weekend.... [emoji23] Sijui ka utalala walah. [emoji23]
Cna mda wa kulala mtaniii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mtani umemuonaa Chamaaaa? Kuna shabiki wa uto, aliropoka "huyu chama akiwa team 1 na pacome bas unyama sana"

Nkamkata juu kwa juu "na mtamsajiri kila mwaka ila anacheza simba, tutolee uchuro wa majini uchwara hapa" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watu wote wamecheka had baas, nilikua home, kipindi cha pili nkaenda zangu banda umiza nkasumbue vzuri waja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…