[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ngoja tumalize maombolezo kwanza
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Kwa furaha niliyonayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa ushindiii huu, hebu somesha muamalaa.
Unakaaje kizembee na mamsapu wako niko full shangwee?
Unaniangusha bhana, em fanya jambooo.
Tulia Mzee.... moderator wataskiaGooolii Jwaneng wanafuga la 3-0 na mpira umekwisha .
Laban og endelea kuosha vyombo kwa shemeji hupigwi ban tena maana J wameshinda [emoji23][emoji23]
Mdomo ulimponza kichwaDaaah ya milele hapana mkuu....mtakosa madini humu ndani
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Haufungwi huuTulia Mzee.... moderator wataskia
Uzi umefungwa rasmi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mtasahau naomba sana sana mpeni adhabu yake pleasee moderatorsNgoja tumalize maombolezo kwanza
Nani kaufunga?Uzi umefungwa rasmi
Moderator hawana tofauti na mboga mboga wana mambo ya ajabu sana, mm*e zaoModerator mnakwama wapi?
Nawaita mara tatu, dawa ya deni ni kulipa na usiku wa deni haukawii.Ngoja tumalize maombolezo kwanza
Yaan mode unaomba ruhusa ya kumpiga ban huyu mbwa koko, na akati aliomba mwenyewe, mnajua mnanikera sanaa? Unambembekeza wa nn? Yaan ana lipi jipyaa humu? Hebu bonyeza hiyo button haraka sana.Kwahiyo, tunaruhusiwa tubonyeze ile button?
mkasamehe bure tu balehe ya soka inamsumbuaYaan mode unaomba ruhusa ya kumpiga ban huyu mbwa koko, na akati aliomba mwenyewe, mnajua mnanikera sanaa? Unambembekeza wa nn? Yaan ana lipi jipyaa humu? Hebu bonyeza hiyo button haraka sana.
Mnaniudhiii wallah hivi.
Piga ban fastaa huyu mbwa koko, ili akabwekee huko Avic town na majini uchwara wenzie. Mnachelewesha nn?Nilijua unataka kumuombea msamaha
Wee nyokoooo upigwe ban, na Yale masifa yako ukitoka huko utakua umenyooka.
Tukitukana hapa wata tupiga ban, lakini wao wanamchekea tu hapa, manina zaoYaan mode unaomba ruhusa ya kumpiga ban huyu mbwa koko, na akati aliomba mwenyewe, mnajua mnanikera sanaa? Unambembekeza wa nn? Yaan ana lipi jipyaa humu? Hebu bonyeza hiyo button haraka sana.
Mnaniudhiii wallah hivi.