Wee niko hapa nasubirii message ile taamu yenye tarakimu za kushatoooo. Fanya kwelii bamsapuu wangu.Kwa furaha niliyonayo
Subiri muamala tu hamna namna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Winja winja......[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Huyu dogo ana masifa sana, ni vile hujamkuta kwenye mfumoomkasamehe bure tu balehe ya soka inamsumbua
Ndo hapo nashangaa, huyu analeta mazoea ya kiwaki mnooo.Tukitukana hapa wata tupiga ban, lakini wao wanamchekea tu hapa, manina zao
Apigwe ban TU hiyo ndio Raha ya utani na utani ndio utanoga.Ahurumiwe
Asamehewe
Huo ndiyo utani wa jadiπ€£
Apigwe ban amevunja kanunu gani za jamii forumsApigwe ban TU hiyo ndio Raha ya utani na utani ndio utanoga.
Nasema hivi apigweeeeeeeeeeeeeh
Unakatw
BAn penda asipende katudharau
Ban utani wa jadi tuBAn penda asipende katudharau
Sasa mbona wee jini uchwara wa Avic town unateseka? Litimu lako limeuzwa kwa wa,Yemeni koko na hatusemiii.Mbumbumbu mnabweteka na ushindi wa uchawi
Litimu lenu lishauzwa kwa Kanji
Sent using Jamii Forums mobile app
kapumbavu kaacheni maana ata soka lenyewe inaonekana kameaza kuangalia kalivofika ChuoHuyu dogo ana masifa sana, ni vile hujamkuta kwenye mfumoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani we ilo litimu lako lenye kambi yanapopita maji taka ya chooni ni lakwenu au hujui kama ni la mzee msatafu mbona uwa mnapenda sana kujitoa ufahamuMbumbumbu mnabweteka na ushindi wa uchawi
Litimu lenu lishauzwa kwa Kanji
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyura ni wajinga sana mpaka sasa wanaamini kuwa timu ni ya wananchi wakati kuna mhuni mmoja kule alishaichukua timu kitambo.kwani we ilo litimu lako lenye kambi yanapopita maji taka ya chooni ni lakwenu au hujui kama ni la mzee msatafu mbona uwa mnapenda sana kujitoa ufahamu
Moderator kama kweli UNAMUOGOPA MWENYEZI MUNGU....! Timiza hiki KIAPO kwa huyu Mtu.Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Mimi naona uolewe kwa wiki moja tu na utumikie majukumu ya ndoa.Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Ufungiwe[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Kabisa mkuu....tupo kwenye msiba mzito wa Mzee wetu ....tufocus kwanza huko [emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mbumbu niwewe na familia yako yote
Moderator unangoja nini mkuu?Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.